Mkuu umetisha sijaona sehemu hata moja ya kukukosoa ila bahati mbaya mimi sio mpenzi wa betting mkuu. Hivyo najishughulisha na kilimo na ufugaji maporini.
Sayansi tunasomea ila technology tunatoka nayo kwa mungu tunaita kipaji. Watu kama hawa ndio hurahisisha maisha ila anakosa saport kwa sababu mbalimbali za kibinadamu mkuu ukihitaji chochote kama sina nitakuunganisha na wadau mkuu.
Hiyo kama walivyotangulia waungwana unaaccept sana friend bila kukagua prifile zao na pia unashare sana baadhi ya maudhui hayo ya hizo picha na groups zao . cha kufanya ingia kwenye profile yako halafu jitoe kwenye hizo group na unfriend baadhi ya marafiki wabaya hasahasa wa kihindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.