Hata polisi majukumu yao yanapangwa kwa kitengo chako sio cheo chako mfano wote mnaweza macpl lkn mmoja akawa trafki, mwengine dereva mwengine ffu
Kwahiyo kamwe huwezi kujua majukumu ya kila cheo jeshini hata wanajeshi wenyewe hawajui
Cpl jkt itende mbeya hawezi kujua majukumu ya cpl comando...
Majukumu ya kila siku hayapangwi kwa cheo chako yanapangwa kulingana na kitengo ulichopo
Mfano cpl ni MP, majukumu yake yatapangwa na mp kamanda na kuhusu mambo yao ya mp, yani mp's wote majukumu yao yatakuwa sawa kuanzia private na vyeo vyengine
Haiwezekani cpl wa lugalo na cpl airwing majukumu...
Mm bwana siku zote kama mtu namjua wala simuogopi, kwanza najua ananijua na yeye namjua kwahiyo hawezi kunifanya kitu sababu ya kujuana na aibu, ndomana unaweza kukuta unandugu yako polisi au mwanajeshi wala humuogopi mnaweza kugombana na kutukanana na asikufanye kitu chochote zaidi ataomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.