Tumeweka two factor authentication wakati wa kujisajili ili kuepusha watu kupost bidhaa za uongo.
Yani mtu anapojisajili atatakiwa kuweka number yake ya simu na atatumiwa sms yenye short code ambayo ataingiza kwenye website ili kukamilisha kujisajili.
Hii habari haijitoshelezi, huwezi angalia mawimbi ya maji yanavyosogea baharini ukasema maji ya bahari yamepungua au yameongezeka. Uchumi wa nchi ni tofauti sana na uchumi wa mtu mmoja mmoja.
Masoko ya hisa dunia nzima yameshuka sio Tanzania tuu.
Wangetueleza mara ya mwisho soko la hisa...
Tuwe makini pia na vipindi wanavyoangalia watoto kwenye TV. maana vipindi vya siku hizi wanaonyesha ushoga kama jambo la kawaida. na kama mtoto hajawahi kuonywa au kuelimishwa atachukulia moja moja ni kitu cha kawaida na adhari zake ni kama tunazoziona sahiv.
Dalali inaungaisha wateja na wafanyabiashara kupitia tovuti yake www.dalali.co Unachotakiwa kufanya ni kujisajili, na kuweka tangazo lako bure kwenye website ili kufikia wateja wengi wanaotembelea website yetu kila siku.
Dalali inaungaisha wateja na wafanyabiashara kupitia tovuti yake www.dalali.co Unachotakiwa kufanya ni kujisajili, na kuweka tangazo lako bure kwenye website ili kufikia wateja wengi wanaotembelea website yetu kila siku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.