Recent content by Dahaye Jr

  1. Dahaye Jr

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Lissu unatangaza Uasi kisha unakana Mahakamani ulikuwa unategemea vyombo vya Usalama vitakaa kimya?

    Lisu ana akili na uwezo mkubwa wa kisheria lakini hafai kuwa raisi wa nchi hii hata chembe,anahamasisha watu kuingia mtaani kuandamana wakati mkewe yupo ubelgiji na ni raia huko na anafanya biashara zake huko,wanae lisu wanaishi marekani ni raia wa marekani,watanzania wasio na uwezo wa kuelewa...
  2. Dahaye Jr

    JamiiForums Tanzania Nilivyofanikiwa kubadili majina yangu yaliyokosewa NIDA

    Naomba tuwasiliane na mm Nina shida kama hiyo 0783323292
  3. Dahaye Jr

    JamiiForums Tanzania SoC04 Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)

    Mimi nashauri MAMLAKA YA VITAMBULISHO (NIDA) kuangaliwa upya kwa maslahi mapana ya taifa letu kwa sababu zifuatazo; 1. Endapo kuna makosa yamefanyika wakati wa usajili wa mwananchi hasa makosa ya alama za vidole mfumo wa usajili Una reject application halafu inaonekama hakuna namna ya...
Back
Top Bottom