Recent content by DAGHI

  1. D

    Wiki mbili sasa nimelipia CONTROL NUMBERS za vyeti viwili lakini STATUS zinasoma PENDING

    Wakuu ni wiki mbili sasa nimelipia CONTROL NUMBERS za vyeti viwili lakini STATUS zinasoma PENDING na risiti ndo hizo hapo, kila nikipiga simu HELPDESK za RITA na GePG..wananipiga chenga kwa anaefahamu issue kama hii anisaidie mawazoo...
  2. D

    Simbu aibuka na Medali ya Fedha Boston Marathon, Marekani

    Hawa jamaa ni kabila la KALENJIN wanatokea rift valley, wakina KIPCHOGE,KIPRUTO,KIPTOO,JEPKOSGEI,KIPTUM,JEPCHIRCHIR ukiona mjaluo au mkikuyu anakimbia uyo kavamia fani......ETHIOPIA utakuta kabila la OROMO hawa ata enzi za shule mtu hana zoezi na anapepea kama mshale...TANZANIA utawakuta SINGIDA...
  3. D

    Simbu aibuka na Medali ya Fedha Boston Marathon, Marekani

    Mwanariadha mtanzania leo aishangaza dunia baada ya kushika nafas ya pili BOSTON MARATHON 2025, kwa muda wa saa 2:05 huku akitimua mbio kwa pace ya juu bila kuonesha dalili ya kuchoka. Mnyaturu huyo kutoka SINGIDA amewacharaza vikalii wapinzani wake wenye majina makubwa ikiwemo SISAY LEMMA...
  4. D

    Ifahamu "TAPETUM LUCIDUM" kinachofanya macho yang'ae usiku kwa baadhi ya wanyama na ndege kama bundi

    Ajabu ni pale kuna wanyama wana macho ya blue, green, yellow, red, orange
  5. D

    Ifahamu "TAPETUM LUCIDUM" kinachofanya macho yang'ae usiku kwa baadhi ya wanyama na ndege kama bundi

    haha ha ha mpaka mwanga utue machoni mwake ndio yanawaka...nje kuna miale mingi mwezi, taa za magari,nyumba etc
  6. D

    Ifahamu "TAPETUM LUCIDUM" kinachofanya macho yang'ae usiku kwa baadhi ya wanyama na ndege kama bundi

    Jana usiku nilikua na drive nje ya mji...nikaona dot 2 zinawaka kwa mbele, hatimaye nikagundua ni fisi amechill pembeni ya barabara... TAPETUM LUCIDUM ni layer yenye asili ya mng'ao iliyopo nyuma ya retina katika jicho la kiumbe hai. Sio viumbe wote wanayo, hii wamepewa viumbe baadhi ambao wapo...
  7. D

    Ila kutapeliwa kunauma wakuu

    una x-mass ngapi hapa mjini..
  8. D

    Matukio baadhi niliyoyaona enzi hizo tunajenga reli SGR ya Tanzania mwaka 2017 kwenda 2021

    Alafu pale makutupora wanaishi wasukuma wengi nahis ndio zao
  9. D

    Matukio baadhi niliyoyaona enzi hizo tunajenga reli SGR ya Tanzania mwaka 2017 kwenda 2021

    Tembea mikoani ase DAR haya mavitu hakuna...utaishia kuona vibwengo tu
  10. D

    Matukio baadhi niliyoyaona enzi hizo tunajenga reli SGR ya Tanzania mwaka 2017 kwenda 2021

    Bonge la FISI bro limefungwa mnyororo na mbuzi wapo..tembea uyaone
Back
Top Bottom