Recent content by Dafugwadu

  1. D

    "Madhara ya pombe Kwa vijana-jiokoe kabla haujachelewa!

    Kuna mtu aliniuliza hivi kwa nini unakunywa pombe? Nikamjibu nakunywa pombe kwa sababu zipo.
  2. D

    Tuongee ukweli, Abdallah Ulega hastahili kuwa Waziri wa Ujenzi

    Huwa nazielewa sana mada zako unazopandisha humu. Yaani kiufupi unashangaa mbona kama haya mambo yamefanyika kwa gharama hizo kwa nini hayaonekani?
  3. D

    Ulikabiliana vipi na suala la upotevu wa nywele (kipara) kwa mara ya kwanza

    Mbona mimi naishi nacho fresh tu au cha kwako kinauma?
  4. D

    Je ni kitu cha hatari kinaninyemelea?

    Habari wanajukwaa nimekosa amani tangu jumanne ilikuwa hivi, nililala usiku nikaota ndoto nimepooza upande wa kulia, Lakini ile kustuka kweli ule upande wote ulikuwa umepooza. Nilikuwa na kiu kali sana ikabidi nimuamshe wife anipe maji ya kunywa. Sikuweza kuyashika yale maji ikabidi aninyweshwe...
  5. D

    Je? Umri wako ni sahihi na watu wanavyokudhania?

    Mwenyewe anaogoopa kwani sisi tumemkosea nini Mungu?
  6. D

    Tuchanane: Mambo ambayo akifanya mtu aibu unaona wewe!

    Vipi kuna wale jamaa wanachambia msumeno huwa najiuliza inauaje kwenye Chainsaw.
  7. D

    Endelea kuwapepeta tayari wametepeta. Kimewaramba hahaa

    Cha kufurahisha zaidi wanabutuana wenyewe boom! Lissu anakula zake makange gerezani. Na yule jamaa angekuwa nje!! Haki ya nani kuna watu wangekuwa wanavaa chupi ambazo hazijakauka vizuri yaani kauka nikuvae.
  8. D

    TZS6.6 Trilioni zimekamilisha ujenzi wa Bwawa la Mwl Nyerere na kuifanya Tanzania kuwa na uzalishaji wa MW4,032 sawa na ziada ya MW740

    Kama umeme unajitosheleza na kubaki kulikuwa na haja gani tena ya kununua umeme toka Ethiopia?
  9. D

    Ghafla kila mtu arudi mkoa aliozaliwa wewe utarudi mkoa gani ?

    Nirudi kutoka wapi tena wakati nipo hapa hapa.
  10. D

    Mfahamu mnyama ambaye kazi yake ni kulala tu

    Sio kweli sema wanapumzika kwa muda mrefu sana Na mara nyingi wanafanya hivyo ili kukwepa maadui.
Back
Top Bottom