Recent content by Dafugwadu

  1. D

    Waziri Silaa aagiza Mwenyekiti wa Mtaa akamatwe kwa kuuza eneo la Mchina akijua kafa na Corona

    Hiki kipindi hata ukisikia mtu anayekudai kafariki itabidi hadi uhakikishe je ni kweli?
  2. D

    Hivi Msumi ipo Dar es Salaam kweli?

    Msumi ipo mbezi nani huyo anasema ipo kibaha?
  3. D

    Lori lagongana na Coaster uso kwa uso, watu tisa wafariki dunia

    Dah! Mtu unawahi kuamka alfajiri ili kuutafuta mkate halafu ghafla unarudi msiba!! Mke na watoto wanajua baba akirudi jioni leo mambo safi daah inauma hii..
  4. D

    Kama unaamini kazini kwako una marafiki subiri uachishwe kazi

    Siku hizi urafiki umeuliwa na uchawa.
  5. D

    Utando wa buibui machoni au usoni

    Aliwazalo mjinga?___.
  6. D

    Hizi ni baadhi ya sifa za watoto wa 2000

    Kumbe ndio maana siku hizi hatusikii matukio ya uporaji wa kutumia silaha za moto? NB: Kwa mara ya kwanza mimi kupiga kura ilikuwa mwaka 2005 na siku ya uchaguzi ndio nilimpata mtoto wangu wa kwanza, kwa kifupi tu mimi na yeye miaka miwili hii hatuivi kabisa kapo chuo kananguruma basi kanajiona...
  7. D

    Chile: Mji mzima wateketea Kwa Moto, tusipuuze Manabii

    Hata hivyo joto limezidi na jua limekuwa kali sana au limetembelewa na mpenzi wake kwa hivyo yapo mawili!?
  8. D

    Moshi: Mgambo maarufu 'Farjala Abdallah' auawa na watu wasiojulikana

    Moshi na Arusha hizi kesi ni kama zinafanana, Hapo ukute jamaa alikuwa kiherehere cha kuwachomesha wauza mirungi, bangi, na gongo sasa wajumbe wakamkalia kamati ya majukumu ya Izrail Wakapita nae.
  9. D

    TMA: Joto linachangiwa na kusogea Jua la Utosi

    Mimi na shughuli zangu za shamba asee vinyweleo vimebadilika vimekuwa kama vya Albino yaani huwezi amini mwanzoni mwa mwezi huu wa tanuri ati mvua zilikuwa zinanyesha huku dooh!
  10. D

    TMA: Joto linachangiwa na kusogea Jua la Utosi

    Kwa mchimba chumvi vina uzuri gani kwake? au unajisahaulisha ni % ngapi ya waTz ili ule ni lazima jua kama hili likukung'ute kikamilifu?
  11. D

    TMA: Joto linachangiwa na kusogea Jua la Utosi

    Waache longo longo kwa nini wasiseme tu kwa sasa yanawaka mawili?
  12. D

    Ungependa kiongozi gani aje Jukwaani kutoa majibu na ufafanuzi wa masuala mbalimbali yanayoendelea nchini?

    Kuna hii kero ya umeme hata sijui nimuulize nani, maana inasababisha hadi mgao wa maji.
  13. D

    Uvutaji wa Sigara husaidia kulainisha choo kwa wenye tatizo la kupata choo kigumu

    Mtakuwa wagonjwa tu nyie sio bure. Nb: Hali ya maisha kwa sasa sio poa kabisa kuna kundi la vichaa linakuja kwa kasi sana.
  14. D

    Shule ya English Medium imegoma kumuhamisha mwanangu. Hatiani kukosa mtihani wa darasa la nne

    Ee baki hapo hapo njia panda swine mambo mengine mnapenda sana kurahisisha,
Back
Top Bottom