Dah! Mtu unawahi kuamka alfajiri
ili kuutafuta mkate
halafu ghafla unarudi msiba!!
Mke na watoto wanajua baba akirudi jioni leo mambo safi daah inauma hii..
Kumbe ndio maana siku hizi hatusikii matukio ya uporaji wa kutumia silaha za moto?
NB: Kwa mara ya kwanza mimi kupiga kura ilikuwa mwaka 2005 na siku ya uchaguzi ndio nilimpata mtoto wangu wa kwanza,
kwa kifupi tu mimi na yeye miaka miwili hii hatuivi kabisa kapo chuo kananguruma basi kanajiona...
Moshi na Arusha hizi kesi ni kama zinafanana,
Hapo ukute jamaa alikuwa kiherehere cha kuwachomesha wauza
mirungi, bangi, na gongo sasa wajumbe wakamkalia kamati ya majukumu ya Izrail
Wakapita nae.
Mimi na shughuli zangu za shamba asee vinyweleo vimebadilika vimekuwa kama vya Albino yaani huwezi amini mwanzoni mwa mwezi huu wa tanuri ati mvua zilikuwa zinanyesha huku dooh!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.