Habari wanajukwaa nimekosa amani tangu jumanne
ilikuwa hivi, nililala usiku nikaota ndoto nimepooza upande wa kulia,
Lakini ile kustuka kweli ule upande wote ulikuwa umepooza.
Nilikuwa na kiu kali sana ikabidi nimuamshe wife anipe maji ya kunywa.
Sikuweza kuyashika yale maji ikabidi aninyweshwe...
Cha kufurahisha zaidi wanabutuana wenyewe boom!
Lissu anakula zake makange gerezani.
Na yule jamaa angekuwa nje!!
Haki ya nani kuna watu wangekuwa wanavaa chupi ambazo hazijakauka vizuri
yaani kauka nikuvae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.