Mi naona simetimes Mungu anakuonea huruma kama huna hayo mambo pia inaweza kuwa nimalipo sababu ya nduguyo unajua what goes arround it comes back arround
Nimejaribu kufuatilia nakufikiria nimegundua Mungu niwaajabu...kwetu sisi wanaume nmeona kwawale maplayboy Mungu amakuonesha jinsi watu wanavoumizwa kupitia hyo tabia yakuwachezea mabinti nakuwaacha maana beliave me ukiwa natabia chafu kwamabinti pia unabarikiwa mtoto wakike mzuriiii hapo ndo...
Habari wana JF....samahani naombeni ushauri nahitaji kufanya ishu yakupannda ile miti yambao..samahani naombeni ushauri wenu maeneo gani yanafaa na miti haina gani inaota haraka na nikianza na heka 1 ntaweza kupata faida kiasi gan na shamba linapatkana kwa bei gani..
Nauza hayo maharage mekundu ama rosecoco yanatokea Rujewa ni kilo 160-200 na nauza kwa 2300 kwa kilo na mimi nipo Dar kwamaana kwamba yapo huku dar so unaweza kuwasliana na mimi 0655822872 nipo Gongo lamboto majohe karibu..
Nauza hayo maharage mekundu ama rosecoco yanatokea Rujewa ni kilo 160-200 na nauza kwa 2300 kwa kilo na mimi nipo Dar kwamaana kwamba yapo huku dar so unaweza kuwasliana na mimi 0655822872 nipo Gongo lamboto majohe karibu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.