Recent content by DADY IGOGO

  1. D

    Fahamu kwanini makada wa CCM wanaweweseka kuhusu Maalim Seif kuhamia ACT-Wazalendo badala ya CHADEMA

    Nadhani CDM inaweweseka zaidi kuliko CCM. Angalia comments za Dr. Mashinji na Freeman jana. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. D

    Zitto amkabidhi Maalim Seif kadi namba 1, Babu Duni namba 10

    Natarajia kinachofuata ni mkutano mkuu kufanyika kwa ajili ya kufanya mabadiliko ya uongozi ndani ya ACT Sent using Jamii Forums mobile app
  3. D

    Nchi haijengwi kwa idadi kubwa ya watu wala Ukatili!!

    Bila kuwaendeleza watu kimaarifa Taifa linakua katika wakati mgumu sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. D

    Nchi haijengwi kwa idadi kubwa ya watu wala Ukatili!!

    Nakubaliana na wewe. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. D

    Side comments: Zitto in JF Exclusive Interview on the 22nd of November, 2012

    Kuna maswali ya msingi ambayo Zitto anapaswa kuyajibu na kuyatolea ufafanuzi ili aweze kufanikiwa katika “kuutaka” Urais kupitia Chadema, otherwise……………. Urafiki wake na Naibu Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa Bw. Nzoka upo katika misingi gani...
  6. D

    Nape si mzima!!

    1. Hongera kwa Nape kukiri mchango wa Dr. Slaa ktk Taifa hili. 2. Chadema imeshatoa misimamo mara nyingi kuhusu ushoga. INAPINGA USHOGA. Nape asipotoshe. Rejea kauli za Mkurugenzi wa Habari na Uenezi - John Mnyika. 3. Baba yangu ana miaka 65, lakini ana nguvu za akili na mwili. Sijui nimuite...
  7. D

    Undani wa Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa

    1. yeyote atakayepuuza mafaniko ya chadema chini ya mbowe ni MPUUZI. 2. Yeyote atakayepuuza mvuto wa chadema chini ya Dr. Slaa hana AKILI. 3. Nadhani hakutakuwa na mabadiliko kwa nafasi za uenyekiti na ukatibu. mabadiliko yatakuwa kwenye umakamu na unaibu na sekretariat.
Back
Top Bottom