Recent content by Daddi

  1. D

    Natafuta tiles aina hii ya India

    Nyingine zipi?
  2. D

    Natafuta tiles aina hii ya India

    Bado sijapata wakuu
  3. D

    Natafuta tiles aina hii ya India

    Hata kama kuna ambae alinunua kwa ajili ya matumizi yake zikabaki nitanunua pia
  4. D

    Natafuta tiles aina hii ya India

    Wewe unaeuza sema bei yako mkuu.
  5. D

    Natafuta tiles aina hii ya India

    Wakuu habari za muda huu? Naomba wauzaji wa tiles au yeyote mwenye kujua nani ambae ana hizi tiles za aina hii anijuze. Nimeshazitumia sehemu kubwa ila zimepelea kama box3 nimerudi kwa alieniuzia kamaliza. Mwenye nazo tafadhali sana naomba mawasiliano yako tufanye biashara. Model yake ni...
  6. D

    Msaada: Wadudu wamekula mbao za dari, paa linataka kudondoka. Mtaalamu wa dawa anisaidie ushauri

    Barikiwa sana mkuu nitajaribu hii. Ungenipa formula ya jinsi ya kuchanganya itapendeza sana. Na ukieza kutuma picha ya chupa ya hiyo sumu itakua umetusaidia wengi
  7. D

    Chimbo la angle/trunk za chuma za kujengea dari pamoja na gypsum

    Wakuu naomba mwenye kujua bei za vile vyuma vinavyotumika kujengea dari. Huwa zinatumika pamoja na gypsum. Majina ya mafundi wanaziita angle au channel au trunk. Naomba kujua duka na bei zake.
  8. D

    Mbinu watumiazo Mafundi Ujenzi kuibia mabosi zao

    Hili duka linaitwaje mkuu? Liko kibanda upande upi?
  9. D

    Ujenzi ni afya ya akili

    You are right, muda wote ninapokuwa site ninakuwa makini nikizingatia ubora wa jengo na kuepuka kupigwa.
  10. D

    Gharama za plumbing na wiring stage ya kwanza

    Jamaa umejibu vzuri nadhani mtoa mada amejifunza
  11. D

    House4Sale Nyumba inauzwa

    Ukubwa wa eneo?
  12. D

    Naomba kufahamishwa Survey App (task) zinazo lipa vizuri Tanzania

    Tuelimishane ni kitu gani mnazungumzia. Tupeane maarifa kidogo.
Back
Top Bottom