Recent content by dadake_

  1. D

    Fursa zilizopo Wilaya ya Muheza-Tanga

    Mwenye kuifahamu biashara ya karafuu kutoka Amani Muheza tafadhali tupe madini
  2. D

    Fursa zilizopo Wilaya ya Muheza-Tanga

    Habari Wadau Ni fursa gani za kiuchumi/ biashara zilizopo au zinazoweza kuanzishwa Wilaya ya Muheza?
  3. D

    Tafiti mpya yabainisha ubora wa kinywaji kijulikanacho kama mbege!

    Mjini hasa dar naskia flavour ya mbege inauzwa kwahiyo hawawaweki ndizi ni ulezi na flavour tuu, inakua kama uji😖😖😖
  4. D

    UWATA wamesambaratisha familia yetu

    😂😂😂 hela ndo kitu mnajua. Hujioni ulivyo mjinga 🚮
  5. D

    UWATA wamesambaratisha familia yetu

    Mwambie aniambiye au pengine wewe unayajua unisimulie, rafiki?
  6. D

    UWATA wamesambaratisha familia yetu

    Nasemaje huko faraghani leo mtabong’oka sana i said what i said msinilishe maneno. Unaonekana unaujua ukweli but you are just in disguise. Nampenda baba yangu sana na kinachowauma zaidi ni anajua nampenda nae ananipenda zaidi na you people won’t rest kila siku ni kumjaza chuki. Fanyeni...
  7. D

    UWATA wamesambaratisha familia yetu

    Heri yako wewe umekumbatiwa. I’m done with you maana hata mngetaka kunikumbatia nisingekubali. Nyinyi ni mashetani. Na huyo mtu endeleeni kumng’ang’ani mkimchoka mkumbusheni sisi hatukumchoka.
  8. D

    UWATA wamesambaratisha familia yetu

    Mzee nimuitaye baba yangu? Nenda faraghani mzee hapa si mahali pako
  9. D

    UWATA wamesambaratisha familia yetu

    Shinikizo na ushabiki ni kutoka kwao kuhusu kanisa nilishasema mapingamizi yaliwekwa hapa dar lakini cha kushangaza ndoa ikafungwa mkoa mwingine. Wao kama watu wa dini/mungu walikuwa na maslahi gani mpk waspearhead kitu fishy kama hicho. Ati ndoa ya kanisani ifungwe haraka na kwa ulazima mpk...
  10. D

    UWATA wamesambaratisha familia yetu

    Soma thread wewe sio unarukaruka kama umewekwa pilipili
  11. D

    UWATA wamesambaratisha familia yetu

    Endelea kuwatetea maana hayajakufika
  12. D

    UWATA wamesambaratisha familia yetu

    Naomba unipe guidance naweza tumia njia zako
  13. D

    UWATA wamesambaratisha familia yetu

    Hii ni kweli jamaniii😭😭😭😭😭😭
Back
Top Bottom