Nasemaje huko faraghani leo mtabong’oka sana i said what i said msinilishe maneno. Unaonekana unaujua ukweli but you are just in disguise. Nampenda baba yangu sana na kinachowauma zaidi ni anajua nampenda nae ananipenda zaidi na you people won’t rest kila siku ni kumjaza chuki. Fanyeni...
Heri yako wewe umekumbatiwa. I’m done with you maana hata mngetaka kunikumbatia nisingekubali. Nyinyi ni mashetani. Na huyo mtu endeleeni kumng’ang’ani mkimchoka mkumbusheni sisi hatukumchoka.
Shinikizo na ushabiki ni kutoka kwao kuhusu kanisa nilishasema mapingamizi yaliwekwa hapa dar lakini cha kushangaza ndoa ikafungwa mkoa mwingine. Wao kama watu wa dini/mungu walikuwa na maslahi gani mpk waspearhead kitu fishy kama hicho. Ati ndoa ya kanisani ifungwe haraka na kwa ulazima mpk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.