Recent content by Dadahuyu

  1. D

    DADA YENU MAPENZI YAMENIKABA KOO

    trust me hii haikua sababu ya mm kuanza nae mahusinao..kwanza wakati nipo nae alikua ametoka training kachoka...kama hela anazo sasa hvi thank you Dabby for passing by...how i wish nijitaje jaman![emoji3][emoji13]
  2. D

    DADA YENU MAPENZI YAMENIKABA KOO

    Thank you so much madam S... it really hurts to move on kwa kweli...ila natumai ntaweza!
  3. D

    DADA YENU MAPENZI YAMENIKABA KOO

    ahsante mwayaa
  4. D

    DADA YENU MAPENZI YAMENIKABA KOO

    sawa kaka yangu nmekuskia,nashkuruuu
  5. D

    DADA YENU MAPENZI YAMENIKABA KOO

    Nashkuru mwayaa kwa kunipa moyoo
  6. D

    DADA YENU MAPENZI YAMENIKABA KOO

    Na wala hata sikukaribishiiii
  7. D

    DADA YENU MAPENZI YAMENIKABA KOO

    nlianza kua na mahusiano nkiwa mwaka wa pili,sijamaanisha nmetongozwa mwaka wa pili[emoji57]
  8. D

    DADA YENU MAPENZI YAMENIKABA KOO

    Habari za weekend wanajamvi.. Mimi ni member mzoefu,nmeona nitumie ID mpya ili niwe huru zaidi kujielezea...nmefikwa kooni nahitaji ushauri Mm ni mtu mwenye msimamo wa dini na nina misimamo yangu ya maisha,nashkuru Mungu nimesoma vzuri na nina kazi nzuri... (sio slay...
Back
Top Bottom