Recent content by dada26

  1. D

    Tozo na kodi kubwa zinavyoua Uchumi wa Mataifa yanayoendelea

    Ni wajibu wa kila serikali kuhakikisha wananchi wake wanaishi maisha bora, na ili serikali iwahakikishie wananchi wake maisha bora ni lazima wananchi hao watoe kodi ili serikali ijiendeshe vizuri. Mtu lazima awe anajishuhulisha eidha ameajiriwa au amejiajiri ili aweze kupata kipato cha kujikimu...
  2. D

    Kazi tano za kujiajiri kwa mtaji mdogo lakini zikakufanya uwe juu kimaisha

    Kwa kipindi hiki ambacho ajira zimekua chache sana wa watu ni wengi sana,unaweza kutoka kwenye wimbi hilo la kukaa bila ajira wala kazi ya kufanya. KAZI ZIFUATAZO UNAWEZA KUFANYA KWA MTAJI MDOGO LAKINI ZIKAKUINGIZIA KIPATO KIKUBWA. 1.KUFUNGUA MGAHAWA WA CHAKULA kula ni lazima, bilionea mmoja...
  3. D

    Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

    Upungufu wa nguvu za kiume ni tatzo linalohusisha sehemu za maumbile ya kiume ya mwanaume kushindwa kufanya kazi zake kama inavyotakiwa. Mara nyingi tatizo la upungufu wa nguvu za kiume hutokea pale mzunguko wa damu unakua dhaifu hasa maeneo ya maumbile ya kiume hivyo kufanya maumbile hayo...
Back
Top Bottom