Recent content by dada pili

  1. D

    Magumu ya ndoa ushauri jamanii tumuokoe huyu mwanamke

    Kwanza huyo ni ww na siyo jirani,na ww mama unaonekana mbinafsi sana, na ndio nyiye nyiye mnaoendaga kwa kalumanzila eti fanya dawa mme wangu akienda ku do, nje ya ndoa mashine yake isifanye kazi,,usikute we ndio ulimfanyia hivyo ukawa umemzidishia dozi,,
  2. D

    Nataka kuoa lakini imani inaleta shida.

    Hujampenda ww huyo binti, hivi ww unafikiri mchumba unatafuta tu hovyo hovyo kama unavyoenda kununuwa nyanya sokoni,na huyo binti alifanya la maana kweli kushikilia msimamo wake wa kuto badili dini mpaka uchumba
  3. D

    Usemi wa leo. Ongezea na semi zako

    Mkaa hauuzwi super market
Back
Top Bottom