Habar zenu huko mliko,
-Nahitaji kujua namna ya kulima mbaazi yaani upandaji, mavuno kwa kila heka pamoja na changamoto zake.
-kiasi Cha mbegu kinacho hitajika kwa heka moja.
-Muda katika uvunaji wake
Mbegu Bora za kisasa na upatikanaji wake, kwa mwenye kujua pia mawasiliano
je mbali na...