Kama umeamua kusaidia watu be open huko PM Kuna Nini? Pia Kama Ni dalali sema kwani kunakosa gani kua middle men? Biashara za kibongo zinakua magumashi Sana. Jieleze ueleweke sio maelezo meengi ya kutamanisha watu afu Cha maana hakuna mwisho Ni mutapeliana. Tunatumia mitandao vibaya
Habar zenu huko mliko,
-Nahitaji kujua namna ya kulima mbaazi yaani upandaji, mavuno kwa kila heka pamoja na changamoto zake.
-kiasi Cha mbegu kinacho hitajika kwa heka moja.
-Muda katika uvunaji wake
Mbegu Bora za kisasa na upatikanaji wake, kwa mwenye kujua pia mawasiliano
je mbali na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.