Pamoja na hayo uliyoeleza usikubali kuishi kinyonge wala usiruhusu hofu ya kuachwa ikuandame. Bado una nafasi ya kuanza tena kwa upya na kuangalia wapi ulifeli ili usirudie tena makosa yale yale. Pia mshukuru Mungu kwa kukuletea mtu anayekupenda na kukujali bila kuangalia mapungufu uliyonayo.
Kila nikiisoma hii Methali najiona nikilandana na huyu mwanamke kwa 97% na tena nasema kwa kujiamini kuwa nimemzidi mwanamke wa Mith. 31-10-31 kwa ubora....(YES).
Pole sana dear.
Tatizo linaanzia hapo ulipoanza kujiamini kupita kiasi mbele ya mwanaume ambaye hauoni hizo sifa kwako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.