Recent content by dabadest

  1. D

    Serikali (NIDA) imefeli vibaya mno suala la vitambulisho vya taifa; kusubiri zaidi ya mwaka, vitambulisho vinapotea haviwafikii walengwa!

    Write your reply...mkuu mbona nikijaribu inanipa ujumbe wa kwamba taarifa zangu hazijapatikana hii imekaeje mkuu
  2. D

    Msaada: Huduma ya cable suppliers Mwanza

    wapo mkuu pale mtaa wa bantu na mtaa wa nkomo fika mitaa hiyo na ulizia barmedas cable au wengine wanaitwa mwanza satelite,au fika mtaa wa ghana na ulizia ghana cable angalizo
  3. D

    BalimiI/kirkuu a.k.a fastjet bei ndogo majibu fastaa

    nlikuwa mwanza mwaka juzi nlikuta wanaziita bangi mbichi kama walijua bangi itakuwa mwisho 2017 wakazibatiza hizi kuwa mbadala
  4. D

    Ni kweli wilaya ya Rungwe ipo mkoni Songwe?

    itakuwa ni mbozi na si rungwe mkuu
  5. D

    Tulivyokuwa tukiiba almasi mgodi wa Mwadui na wenzetu kuuawa

    na ngoma za wasukuma(mbina) zilivyochangia kuwafanya wabeshi kujiamini kuhusu uchawi na kuiba,maana mamanju wengi walikuwa wanaamini uchawi na wateja wao wengi walikuwa wabeshi,mamanju kama tagala,inagha nk,walikuwa noma kwa mbina
  6. D

    Tulivyokuwa tukiiba almasi mgodi wa Mwadui na wenzetu kuuawa

    mkuu barafu tunaomba story khs wabeshi(budoya)na mganga wa songwa aka shangazi
  7. D

    Tulivyokuwa tukiiba almasi mgodi wa Mwadui na wenzetu kuuawa

    ni kweli mzee wa beba dunia(barafu) vitu vingine watu hawataamini na itakuwa ngumu kuwaelewesha khs kuiba almasi,ni kitu ngumu sana inahitaji ujasiri na laiti tungejua kuwa vibarua wa mchana ndo hao wabeshi wa usiku tusinge waruhusu kufanya vibarua ndani ya mgodi
  8. D

    Tulivyokuwa tukiiba almasi mgodi wa Mwadui na wenzetu kuuawa

    na kama atakuwa humu atanikumbuka maana alikuwa na akina china wa kawawa jkt mafinga ambao sisi tuliwaleta wachezaji wetu na gari la jeshi na nikawa karibu nae kupiga story za mwadui na baba yake chekingo na chambuso ambaye ni baba wa rajabu chambuso aliyekuwa mwongoza ndege za mwadui mzee chambuso
  9. D

    Tulivyokuwa tukiiba almasi mgodi wa Mwadui na wenzetu kuuawa

    nieleze kidogo khsu huyu budoya eti alikuwa anapaka mafuta ya simba ili mbwa wa mwadui wamuogope,vp ulivyopita pale maganzo daya yupo na tagi tajiri?
  10. D

    Tulivyokuwa tukiiba almasi mgodi wa Mwadui na wenzetu kuuawa

    pole sana barafu sasa hv naomba niwe nakuita mzee wa beba dunia ile adhabu ya jeshini kwa makuruta nadhani utakuwa unaijua kichwa chini mguu juu,
  11. D

    Msaada: Anayejua wanapouza pooltable kwa hapa mwanza

    marekebisho si sunset bali ni suncity kwenye mikate hapo uhuru
  12. D

    Msaada: Anayejua wanapouza pooltable kwa hapa mwanza

    nenda mtaa wa uhuru baada ya sunset jirani na msikiti wa uhuru utakuta wameandika kennice
  13. D

    Tulivyokuwa tukiiba almasi mgodi wa Mwadui na wenzetu kuuawa

    kama ntakuwa nimekosea jina mkuu barafu utanisahihisha alikuwa anaitwa BUDOYA unamkumbuka?
  14. D

    Tulivyokuwa tukiiba almasi mgodi wa Mwadui na wenzetu kuuawa

    mkuu barafu katikati ya miaka ya 90 kulikuwa na mbeshi mmoja alikuwa maarufu sana inasemekana aliua mbwa wa mwadui kwa kumchana mdomo alikuwa anaishi kama si idukilo basi utemini alikuwa mfupi na ananguvu sana unaweza nikumbusha jina lake
  15. D

    Tulivyokuwa tukiiba almasi mgodi wa Mwadui na wenzetu kuuawa

    pia mabasi ya mwadui,basi no12,dungu la kwenda new alamasi kupitia kale kapoli baadae wakachukua tanex tulikuwa tunakwenda kuwinda sungura na digidigi sana huko kupitia mwadui sec tunaicheck utemini kwa mbaali,nawakumbuka sana wale vibarua wakupalilia nlikuwa nawapa sana miwa,nakumbuka pia mess...
Back
Top Bottom