Marekani sheria haikatazi mtu kuvaa hayo mavazi ndio maana Wamarekani wanavaa na hakuna tatizo.Tanzania kwa mujibu wa sheria hairuhusiwa “raia” yeyote kuvaa mavazi ya jeshi la Tanzania isipokuwa kwa ruhusa ya Rais au ukawaombe wahusika wa hayo mavazi mf wasanii.Bendera zipo zinauzwa ILA sheria...
Story yako “very interesting” tatizo ni summary yako [emoji1787] QB hapo project hizo wanugu hali ngumu sana ulitoka salama ? Maana miaka hiyo siyo mchezo sasa hivi angalau kidogo.
Nakubalina na wewe ngozi nyeupe yeyote ikija bongo au niseme mgeni yeyote kutoka nchi nyingine wanakarimiwa vizuri sana. Nchi nyingine hakuna ukarimu wowote.Kwa kifupi TZ ni wakarimu sana
Naibu meya wa jiji la Mwanza Biku Kotecha kaoa msukuma na wanawatoto wakubwa. Mwingine Mchaga anaishi hapohapo Mwanza kaoa mhindi hao wote sio kwa kuambiwa nawajuwa. Next time fanya research yako vizuri ukijiridhisha ndio uje na hoja. Labda ungesema wachache saaaana ningekuelewa
Kwa kifupi Malcom X kauliwa na CIA, baada ya kuwa maarufu alikuwa na ego, pia kulikuwa na kawivu flani kutoka kwa Elijah Muhamad sababu jamaa alikuwa kaanza kukubalika sana na alimwona alichokuwa anafanya anazidisha sana alimwambia apunguze jamaa hakutaka kumsikiliza. Tafuta documentary who...
Wewe uwajui wanigeria tena nyamaza kabisa, duniani kote hakuna sehemu wanakubalika eti wawekezaji toka nje mnaija [emoji1787][emoji1787].Umeshasikia nani anaenda kwao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.