Sema nin boss yaani ni katika harakati za life huwez mfurahisha kila mtu ko samehe tu ndugu yangu ndo Mana jamaa anajaribu kuonyesha kwamba saivi kabadilika ujue kuweka wazi vitu ka hiz lazma uwe umejikana na kukubali liwalo na liwe yaan
Fungua Account ya wadu (weka akiba daima unavyopata) mzee kutoka bank ya TPB... Mahitaji ni barua ya utambulisho toka kwa mtendaji, any IDs Kama mpiga Kura, uraia, leseni au pasipot, passport size 4 na kianzio minimum 20,000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.