Virutubisho Ina umuhimu nyingi Sana katika mwili ya mwanadamu
Vifuatazo Ni muhimu ya virutubisho katika mwili.
1: kwa mtoto humuongezea hamu ya kula
2: husaidia kuzuia upungufu wa damu mwilini
3: huboresha ukuaji wa mwili pia akili
4: kwa mtoto husaidia kumkinga zidi ya. Magonjwa
5: pia kwa...
Karibu tujifunze lishe Bora zenye Kinga mwilini
1: Kuna lishe ya protini
Hii lishe usaifia nu lishe inayoitajika mwilini kwa Kasi kubwa kwani husaidia kukuza Mwili, pia huzuia magonjwa Kama kwashiakoo, marasmas na kazalika unashauria kutumia Sana
2: Carbohydrate au wanga
Lishe hiii Sina...
Hawali ya yote naomba radhi kwa kuandika Vyakula ivi kwa lugha ya kingereza
MTOTO MDOGO anatakiwa ale mlo kamili yaani appetizer,main meal,pamoja na desert na Vyakula hizo zinatakiwa ziwe na lishe Bora yaani nutrients Kama minerals,vitamins,carbohydrate and proteins
Mfano: fish soup,mashed...
Naomben msaada wenu kwa wale mliosikia kuhusu wanachuo wanaoitwa special diploma in education mwaka 2018 eti ni kweli na wao wanafanya mtihani wa form six mwakani sijaelewa naombeni wataalam wa elimu wanisaidie nielewe.
Ngoja nitoe ufafanuzi kidogo kuhusu special diploma, hawa ni wale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.