Recent content by cutte bee

  1. C

    Naomba ushauri -Jinsi ya ku cope unapoachana na mpenzi

    Kuwa uyaone. Utayakuta tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. C

    Naomba ushauri -Jinsi ya ku cope unapoachana na mpenzi

    Nisiingilie uzi wa mtu ila tumeachana. Nilitaka kunwambia tu mwenye uzi hayupo peke yake tupo wengi ila kila mtu na maumivu yake. Naamini mungu ni mkubwa tutasahau na kusonga mbele. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. C

    Naomba ushauri -Jinsi ya ku cope unapoachana na mpenzi

    Jamani mie hapa mkuu itanishinda. Ma mie nipo dilema kwenye mahusiano. Maana karibu kila kitu tumepata kwa kuwa pamoja najaribu ku muve on lakini kila nikigeuka huku naona alichonunua yaani ilikuwa ni relation ya zaidi ya miaka 12 na mtoto juu ila naona nazeeka bila ndoa. Sasa hadi najichukia...
  4. C

    Hivi 6 inches pia ni kibamia.

    Hizo si hesabu za darasa la pili tusivunjiane heshima ndugu... soma nilichoandika usinipimie kiwango cha ufahamu. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. C

    Hivi 6 inches pia ni kibamia.

    Tena kibamia cha hatari. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. C

    Wanaume wa mikoani.. Waambieni wake zenu, dada zenu, mabinti zenu waache ushamba!!!

    Hawajafungua tu chuo.. sijui anasoma au ndo waliokosa sifa za kujiungaa..
  7. C

    Upweke unanimaliza, naombeni msaada

    Pole mkuu. Ila hauko peke yako tupo wengi tu katika tabaka tofauti. Kuna walio na kazi lakini ni wapweke kabisa. Kuna wenye familia na watoto mambo safi but still wapweke tena sana. Na kuna single mothers wanakazi na kila kitu bado ni wapweke. Kikubwa ni kujichanganya na vikundi vya michezo na...
  8. C

    Baba mdogo wa mume wangu amekasirika mimi kumkiss mume wangu

    Hata hizo siku ulizosema wanaondoka wanaweza wasiondoke. So utegemee na hilo. Ila muage mumeo ndani na usiwape nafasi ya kusema. Ila kuwa na msimamo kwako hapo. Ratiba ya msosi panga mwenye nyumba na mengineyo. Ndugu wa mume ni lawama tu. Wewe mtu anakuja na familia nzima usawa huu, kichwani...
  9. C

    Mwanamke subiri uvuliwe, usivue mwenyewe

    Mala nyingi mnajua kumvua ila mkimaliza hiyo shughuri mbona huwa hamuwavalishi?, acha tu wavue wenyewe maana na kuvaa, huvaa wenyewe. Mkishapata hata mnawakimbiza na nguo zingine huwa wanavalia balabalani.
  10. C

    Raha ya kuwa single

    Kuna kitu hakiko sawa hapa. Kuna kujifariji kwa maneno lakini kwa ndani Mungu ndo anayejua. Mkuu tunaelewa na tulishapitia hiyo stage.. jitahidi utaivuka tu. All the best.. kaza but...
  11. C

    Baada ya kumfukuza wife, nataka kupandisha cheo housegirl

    Nani alikuambia ukikuta boxer kwa bag ya mke maana yake huyo mtu ana cheat?. How old are you?. Ulioa au uliozeshwa?
  12. C

    Baada ya kumfukuza wife, nataka kupandisha cheo housegirl

    Sielewi. Hii muvi au ni kweli.. eti ananisugua mgongo umetakata. Na sijui anakuchua. Wewee mbona hakukuchua when mkeo yupo. Hayo maji ya limao na chumvi ni ya muda ukisha vuruga kila kitu uje utupe mrejesho jinsi house girl alivyokuvuruga. Hakuna free eti mshahara amekataa.. kweli mnaangamia kwa...
  13. C

    Naombeni ushauri: Moyo umevunjika, siamini msichana tena

    Ukimkubali huyo usirudi unalia siku nyingine na uzi mwingine JF. kaolewa kaachika then ndo anakutafuta mnyonge wake. Ukimkubali siku akipata mwingine anakimbia utaokota kopo kabisa. Jasili haachi asili.
  14. C

    Kuna umuhimu wa kukaguaa simu ya mpenzi wako?

    Bora ukague iwapo una mashaka naye. Nakumbuka niliwahi kukagua nilishukuru nilichokikuta. Nilijua niko na mtu wa aje. Kumbe anataka kuweka kambi kwa manzi mwingine tena anaforce king. Ahadi kibao. Salon aende huyo demu yeye anaomba alipe bili. Ujumbe mwingine hata wewe hujawahi andikiwa ambaye...
Back
Top Bottom