Ninavyojua ni kwamba nchi yetu, TANZANIA ni nchi iliyotokana na muungano kati ya TANGANYIKA na ZANZIBAR na kuzaliwa kwa TANZANZANIA. Hivyo basi, serikali ya Tanzania ni serikali ya muungano na serikali ya muungano huwa ni moja na si mbili wala tatu. Kwa mtazamo wangu, kama wabunge wetu...
Ndugu watanzania, hili suala la muungano lishaleta taabu mpaka hivi sasa. Ukitaka kuamini kauli hii ni kwamba fuatilia mikutano ya bunge maalum ya katiba. Mpaka sasa wameshindwa kuamua ni serikali ngapi ipitishwe katika muungano wetu? Ebu nasi wananchi kupitia JF, kwa kufuata sheria, taribu na...
Wapendwa, nina tatizo ambalo mwanzoni lilikuwa dogo lakini sasa naweza kusema limekuwa sugu. Niliwahi kufanya sexual intercourse ambayo result yake ni kuumia na kujeruhiwa kwa kojoleo. Yaan nimeambukizwa ugonjwa kaswende. Nimefanya jitihada sana kuhakikisha napona bila mafanikia. Nimetumia...
Huyu wangu kwakweli ni mpole, mtaratibu, msikivu na mnyenyekevu. sa nashindwa kujua kama ndo tabia yake au ndiyo 4-4-2 yake anayoitumia ili kufanikisha ndoa?!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.