Recent content by cumbamalema

  1. C

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23

    Kifo ni kifo tu,hajafa hata mtu mmoja
  2. C

    JamiiForums Tanzania Kazi zenye laana Tanzania

    Urais wa kuiba kura
  3. C

    JamiiForums Tanzania Kwanini Waarabu wengi hawana alama ya Sijda kwenye paji la Uso?

    Hii inasababishwa na eneo unalosalia, yaani wenzetu misikiti yao inamakapeti ya manyoya kwa hiyo hata asujudu vipi haiwezi kutoka sijda. Wakati asilimia kubwa ya misikiti yetu kapeti zetu ni ngumu ndiyo maana tunatoka sijda sawa na kusema huyu analala kwenye godoro na huyu analala kwenye mkeka...
  4. C

    JamiiForums Tanzania Jaji warioba apumzike asijiharibie heshima ambayo ilipambwa tu!

    Wenye akili watajuwa jaji warioba na serikali kipi kinafaa kupumzika,uzuri mriyoyafanya hata kama mrifanyia gizani hamkufanya kwa bahati mbaya hata wenyewe mnajua mlifanya
  5. C

    JamiiForums Tanzania Kama aliyekuwa anatafutwa Si Alphonce Lusako kwanini mmeondoka na gari lake?

    Sasa hivi heri ukutane na Majambazi labda watakusamehe lakini siyo polisi
  6. C

    JamiiForums Tanzania TANZIA Dkt. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia

    Watu wanapiga pasi ndefu za Urais itakapofika 2030 tutakuwa na wakristo wachache sana CCM oyeee
  7. C

    JamiiForums Tanzania Responded Waziri Mkenda: Nafuatilia Shule ya Nkasi iliyofukuza Watoto kisa Wazazi wao ni CHADEMA Mkoani Rukwa

    mimi siyo mtoto kama unavyofikiri na kusimamia haki hakuitaji umri,angalia leo hii watu wanatekwa wanauwawa mnaiba kura halafu mnakuja na drama za kuwafukuza shule watoto wadogo halafu unajifanya wamesimamishwa, kwa kosa lipi?naona mmejipa haki miliki ya kutawala milele sababu tu mnahaki ya...
  8. C

    JamiiForums Tanzania Paul Makonda: Tutakachofanya Tarehe 9 Disemba jijini Arusha hata wakisema ni uchawi poa tu

    Unawaombea watu wakati unawanyima haki ya kuishi,hii inchi ina maajabu sana
  9. C

    JamiiForums Tanzania Responded Waziri Mkenda: Nafuatilia Shule ya Nkasi iliyofukuza Watoto kisa Wazazi wao ni CHADEMA Mkoani Rukwa

    Na wewe ni njinga m Wamesimamishwa kwa kosa gani?
  10. C

    JamiiForums Tanzania Responded Waziri Mkenda: Nafuatilia Shule ya Nkasi iliyofukuza Watoto kisa Wazazi wao ni CHADEMA Mkoani Rukwa

    Na wewe ni mjinga mwenzao una akili za CCM sasa hapo watoto wanahusikaje?
  11. C

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Abdul Nondo amekutwa na kiwango kikubwa cha sumu mwilini

    zamu yenu inakuja kama hutalipiya wewe watalipia wanao, Mozambique wameshaanza kunyolewa wananchi wanachoma ofisi za Frelimo na kuvamia vituo vya polisi na kufungua magereza kuwaachia wafungwa
  12. C

    JamiiForums Tanzania Papa Francis hapaswi kukosolewa dhidi ya uamuzi wake juu ya LGBTQ

    Kwa hiyo angekuwa na cheo cha Umungu asingeiteketeza miji ya Sodoma na Gomoro sababu atawaudhi waumini? halafu mnamuita mtakatifu, mtakatifu anapingana na maamuzi ya Mungu
  13. C

    JamiiForums Tanzania Nabii GeorDavie: Yesu akirudi leo atataka kutumia gari yangu na atataka nimfuate Airport

    kwa hiyo atakaporudi ataachana na Ibada aliyokuwa akiifanya hapo kabla halafu ataiga ibada za wazungu?au ataenda kusali na Viongozi wa dini wanaosapoti ndoa ya jinsia moja?mda mchache mambo mengi
  14. C

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Abdul Nondo amekutwa na kiwango kikubwa cha sumu mwilini

    Hivi unaonaje kama ungekuwa unachukua miaka au umri wa watu wengine unajiongezea ili uishi miaka mingi na uriowapola ukiwaacha wakijifia,je ungeuwa wangapi?una roho mbaya sana
  15. C

    JamiiForums Tanzania Utaratibu na Ratiba za kumjibu Joseph Sinde Warioba kutokana na Press yake leo

    Kama vile nimekusoma mzee wa ujumbe uliojicha
Back
Top Bottom