Baadhi ya wanaume tumekuwa malimbukeni wa kuogopa kuwaoa single mother.
Sijajua tatizo ni mtu kuogopa majukumu ya kulea mtoto uliyemkuta na mwanamke ama ni nini.!!.
Kama ni mtu kujiaminisha kuwa huwezi oa mwanamke aliyekwisha zaa ndugu zangu mnajidanganya. Kwa dunia ya sasa wanawake wanatoa...
Nna umri wa miaka 36. Natafuta single mother aliye na mtoto mmoja tu. Sababu ya kuwa single iwe ni baba mtoto wake kufariki ama alizalishwa bahati mbaya na mme wa mtu. Sifa zake
1.Age 20-28yrs.
2. Maji ya kunde ama mweupe.
3.Awe na elimu at least ya form four.
4.Awe na mawazo ya kufanya...
Tin number zinapatikana haraka, kibali cha ujenzi kinatolewa kila wiki,viongozi wamekuwa karibu na wananchi kutatua kero zao e.g Mawaziri, umeme umesambazwa vijiji vingi, wakulima tumeruhusiwa kuuza mazao nje, n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.