SEHEMU 02;
Endelea;,
Nilifika kwa bizzo nikiwa nimeloa chapa chapa ,nilisimama kwa dakika kadhaa pale nje ya mlango wake huku nikijibanza banza kuikwepa mvua japo nilikuwa nimeloa tayar ,niliamua kubisha hodi na baada ya dakika kadhaa sauti ya kiume ilinijibu
"Ooy nan mwana unaleta usumbufu...