Mkuu acha kujianika, simtetei Magu lakini sidhani kama alisema Serikali itajenga viwanda na kuviendesha. Kama nchi tulishatoka huko tangu zama za Mkapa. Enzi za Nyerere, siasa za uchumi zilikuwa tofauti na hizi, ndio maana Serikalini ilikiwa inamiliki viwanda na hata migahawa.
c
God is a Spirit (Roho). God is Omnipotent( Mwenye Ukuu usio na mipaka), Omnipresent (Yupo kila mahali kwa wakati mmoja)
Yuko muda wote na kila mahali. Yupo sehemu kuu kwenye Ulimwengu wa roho (Spritual realm).
Na zaidi, yupo ndani yako kwenye pumzi yako ya uhai(spirit) ambayo imetoka kwenye...
He is beyond our understanding. Kwa akili yetu ya kibinadamu haitatosha kumjua. Toka tu ndani ya mwili, ubaki roho na uingie kwenye ulimwengu wa roho utapata ufunuo zaidi. You are a spirit with soul who live in a body.
Umeboa sana kusema alipambana kurudisha Hai toka upinzani kama vile alikuwa anapambana na gonjwa fulani la kuambukiza. Mimi sio mpinzani lakini naelewa kuwa Tanzania ni nchi huru ya vyama vingi, hivyo vyama wa upinzani vina uhalali wa kuwepo Hai na popote Tanzania. Si Kazi ya kiongozi yeyote wa...
Ni kazi ya Mkuu wa Wilaya ambaye ni Kiongozi wa Serikali kupambana na Chadema? Kwanini anatuhuma Arusha wakati kituo chake cha kazi ni Hai? Kila mtu avune alichopanda aisee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.