Mnamo miaka ya 2015 nilianzisha mahusiano na mwanamke mmoja hivi, sasa baada ya kipindi kifupi akapata ujauzito kumbuka hapo mimi nilikuwa sina kipato kinachoeleweka ila pia yeye alikuwa hana kipato kinachoeleweka, sasa kwa bahati nzuri mwenzangu katika kipindi hicho hicho akapata kazi akahama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.