We abandoned what worked well throughout the season, which is a well-balanced offense (running and passing game).
Our defense was very poor against the Chiefs. We got punched by early Chiefs plays and never full recovered.
If we can keep our defense intact for the next few seasons, I think we...
Nahuzunuka timu ninayoishabikia (Baltimore Ravens) imetolewa. Kwa sababu tumetolewa na Kansas City Chiefs, nitakuwa naishabikia San Francisco 49ers kushinda Lombardi trophy lol.
Ninaishi Marekani toka 1996. Hata kama hushabikii American football, hii mechi haiepukiki (kuanzia wiki moja kabla ya...
Ninachoweza kusema ni hiki hapa.
Nimekuwa shabiki wa mpira wa miguu kwa miaka 45 sasa. Ni mshabiki wa Simba toka nimezaliwa.
Kama mshabiki wa mpira wa miguu, kuna kipindi cha mazao (kuchukua ubingwa) na kipindi cha ukame (kukosa ubingwa). Hii haikuanza miaka ya hivi karibuni.
Kuna kipindi cha...
Naomba nitoe maoni yangu.
Ukiwa umeshafika hatua ya robo fainali kwenye CAF Champions League, kwa nafasi kubwa utakuwa unapambanishwa na timu kongwe na zenye mafanikio makubwa sawa au kuliko wewe. Ni timu zenye uwezo mkubwa kiuchumi na uwanjani pia. Usitegemee timu ndogo tena.
Njia pekee ya...
Naomba nichangie mada.
Naomba kutoa mfano. Wewe ni mzazi, na mwanao tangu darasa la kwanza hafaulu au hafanyi vizuri kwenye mitihani yake. Anapata D na F kila somo (wanatolewa hatua ya awali ya mashindano ya CAF kila mwaka). Unatoa msaada wa kumpa moyo na msaada wa kusoma zaidi na pia kulipia...
Naomba kwa heshima nitofautiane kidogo na wewe. Ninaelewa tofauti kubwa ya kiuchumi kati ya Marekani na Tanzania. Lakini, hata kwa kidogo kilichopo kinaweza kutumiwa sawasawa kukuza michezo. Ni hatua ndogo ndogo zinaweza kuchukuliwa kama Umisseta na academies kama ulivyosema. Tukiangalia kwa...
Habari za leo.
Baada ya Tanzania kufungwa na Uganda 1 - 0 katika kuwania tiketi ya kufuzu mashindano ya CHAN, kumeibuka mijadala mingi sana kuhusu kiwango cha timu yetu. Malalamiko mengi yameangukia kwa wachezaji, walimu, TFF, serikali, etc. Naomba niwasilishe maoni yangu kutokana na mimi...
Naomba nitoe maoni yangu.
Kadri Simba inavyozidi kupata mafanikio ya ndani na nje ya nchi kwa miaka ya karibuni, ndivyo timu inapoangaliwa na kuchambuliwa zaidi na wachambuzi na wapenzi wa kandanda kwa ujumla. Timu inaweza kufanya makosa ambayo timu zingine yanafanya karibu kila mechi, lakini...
Naomba kutoa maoni yangu.
Kama katika maisha yako huna mipango ya maendeleo ya muda mfupi na muda mrefu, hutaweza kufanikiwa. Upeo wa kuona zaidi ya leo na kesho ni tatizo kubwa sana kwa maendeleo ya nchi zetu za Afrika.
Naomba kutoa mfano hai. Ninaishi Marekani (miaka 25 sasa). Nimeona jinsi...
Binafsi, nilifanikiwa kushiriki mashindano ya Umisseta kwa kanda ya Mashariki kwa mwaka 1990 na 1991 (au 1991 na 1992. Kumbukumbu imenitoka kidogo). Mashindano haya yalifanyika Zanzibar na Songea. Nilikuwa nacheza mchezo wa kikapu.
Nilivyomwona Zanzibar wakati anacheza, nilijua atakuwa nyota...
Nafikiri bei za jezi za timu za Tanzania (kwa mfano Simba na Yanga) zinalenga kuwa nafuu kutokana na uhalisi wa kipato cha wananchi. Naomba niwasilishe mfano. Mimi ninaishi Marekani. Mchezo wa kikapu ni maarufu sana hapa. Ukitaka kununua jezi halisi (authentic) ya wachezaji maarufu kama Michael...
Ninaona umuhimu mkubwa sana wa Simba SC kuweza kucheza michuano ya CAF Champions league kila mwaka. Itasaidia sana kukuza viwango. Ukishazoea kucheza na hizi timu za TPL, unaweka tafsiri finyu kwamba timu yetu iko juu.
Ndio maana naomba tuendelee kushiriki hii ligi kupambana na wababe wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.