Recent content by Crif Said

  1. C

    Anaweza kusomea nini kwa ufaulu huu?

    Shukran sana mkuu. Vip kwa ufaulu huo unashauri afanyeje?
  2. C

    Anaweza kusomea nini kwa ufaulu huu?

    Kuna mwanafunzi ame graduate form four na kupata ufaulu wa division iv ya point 26. Chemistry D, Biology C, Geography D, English C, History D, Civics D, Kiswahili D, Math F. Je kwa upande wa health and allied sciences anaweza kusomea nini? msaada tafadhali wakuu.
  3. C

    Mliochaguliwa Ardhi - The unique university, tukutane hapa

    Kama ilivyoainishwa hapo juu, Ardhi University ni unique in nature. Students wa Ardhi University wapo well disciplined and very intelligent. Muhimu naomba kuwakaribisha Ardhi University kwa usalama wa maisha yenu. Na ikumbukwe kuwa wana ARU huwa hatufanyi mabishano ya mitaani..Njooni mjionee...
  4. C

    TCU third round ipo tayari kwa wale waliokosa 1 na 2 round now

    hata wale waliochaguliwa first round wameandikiwa ivo so ucwaze we fanya kuandaa kakaakichwa uende zako tumain
  5. C

    Second selection TCU tayari!

    Kwahiyo tcu ikishakuchagua ndo tayar? Na hyo waiting for institutional approval haina effects?
  6. C

    Mzumbe na ardhi tatizo nini?

    Jaman ardhi vip watatoa selections kwa ujumla..I mean first batch and second batch? Au watatoa first batch tu?
  7. C

    2round selection

    So inawezekana kutemwa tena second round application mkuu? Na ni had cku ngap wataanza ku release second batch kuanzia leo?
  8. C

    2round selection

    Jaman huu mwaka wetu ni mwaka wa kuvunja record za ajabu ajabu..ni kwel mwaka huu second round application unapewa nafac had 5 za kuchagua vyuo!
Back
Top Bottom