Hio ishu inawezekana ni kweli huyo jamaa anaakili timamu kabisa awezi amka asubui na kuanza kusema anadaiwa tuu.
Inaonyesha ni kweli.
Maana zama na mume wake wamekimbilia kituo cha police kawe na kumuweka ndani kijana.
Wapo wengi tuu wamezulumiwa haki zao.
Ni kawaida yake kutokulipa.
Utapeli tuuu kujitetea kwingi.
Na nyie mnatetea watu.
Huyo jamaa alimuomba zamaradi hio 200k akasema hana , 😀😀😀.
Nafikili ni uchoyo tuuu.
Rogo mbaya tuuu.
Sasa usichoamini wewe ni nini?
Kama mwanaume tuu mkewe anazaa nje na anamsamehe na wanaendelea na maisha unashangaa nini.
Yuzi ngapi zimekuja hapa ke imezaa nje na me imemsamehe mkewe.
Japo wao mpaka sasa hawausiqno mazuri na mkewe anaishi kwa sababu ya watoto tuu.
Wanagombana mara kwa mara.
Duu kuna kaka mmoja yeye ana mkewe walikuwa na watoto 3 wakike tupu. Sasa akaamua kwenda kuzaa nje kutafuta mtoto wa kiume alifanikiwa na kwenda kumtambulisha kwa ndugu kama wote mkewe aligombananae ila wakamwambia tuh huyu ni mtoto wake hata ukachukia haisaidii akakukubali.
Ndugu wa mwanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.