All in all karma does not work madam kama umeachwa kaolewa mwingine shortly we sio mke bora kwake hukuwa na vigezo alivyovitaka kutanuana vzr sio kigezo kuna maisha baada ya kutanuana fanya mtegemee mungu kwa kila jambo hayo yatapita upe moyo wako nafasi upumzike uyasahau upampata wa kufanana...
Nilikuwa na mpenzi siku moja nikamuuliza mbona unavaa nguo fupi akajibu mama mwenyewe hanikatazi we ni nani tangu hapo niko nae kama wadangaji wengine [emoji19]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.