Recent content by Counsellor

  1. C

    Kipindi cha raisi ofisini

    Raisi wetu inafaa akae muhula mmoja tu, usiopungua miaka mitano (5) na kutozidi miaka saba. Napendekeza miaka saba. Hii ni kuongeza ufanisi wake tupate tija zaidi. Pia hatalazimika kuomba kura na kuaga wapiga kura wake mara nyingi. Atomba kura mwaka mmoja na kuaga mwaka mmoja atatekeleza ilani...
  2. C

    Kamati kuu ya CCM trh 30.7.2011

    katiba ya ccm haisemi chochote kuhusu kuwepo au kutowepo waalikwa. Nadhani kuwapo kwao ni FIKRA SAHIHI ZA MWENYEKITI WA CCM.
Back
Top Bottom