Recent content by CoSo Marketing

  1. C

    Ng'ombe na mbuzi wa kisasa wanapatikana

    Na nikufundishe kuwa kila biashara ina malengo yake, mikakati yake, target market yake nk, umeelewa?! Huwezi kumpangia mtu sehemu anayotakiwa afanyie biashara ama afanye vipi. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. C

    Ng'ombe na mbuzi wa kisasa wanapatikana

    Naomba uwapatie wadau contacts za hayo mashamba wakanunue, biashara huria mtu anachagua Sent using Jamii Forums mobile app
  3. C

    Ng'ombe na mbuzi wa kisasa wanapatikana

    Naomba uwapatie wadau namba za hayo maeneo uliyoyataja wakanunue, ili wasihangaike Sent using Jamii Forums mobile app
  4. C

    Ng'ombe na mbuzi wa kisasa wanapatikana

    Asanteni kwa maoni murua. Hivi miaka hii bado kuna watu wanatapeliwa kweli?! Nashangaa sana kama mtu mzima ukitapeliwa kwa miaka hii wakati kila kitu kiko wazi. Hulazimishwi kununua tunapotangaza, nunua sehemu unazoridhika nazo wewe mwenyewe ndio ununue sawa wajameni...Kuna mtu tayari hapo juu...
  5. C

    Ng'ombe na mbuzi wa kisasa wanapatikana

    Biashara hiyo ni ngumu sana, nadhani hayajawahi kukupata, kama huamini hauodi, sisi hatuna mashamba ya kuhifadhi wanyama.Wanyama wanaoletwa lazima wawe wamelipiwa kwanza, Kila biashara ina mipango na mikakati yake, biashara zote hazilingani. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. C

    Ng'ombe na mbuzi wa kisasa wanapatikana

    Mbuzi inategemea na aina na umri wake, wale boer bei yale ni dola 550-600 kwa jike na dume dola 700 na kuendelea, kama bajet ndogo angalau ukichukua dume maana ataimarisha vizazi vya kienyeji si mbaya sana..Hawa majike wao huzaa mapacha. Savanna kuanzia laki tano/sita Alpine kuanzia laki 4 na...
  7. C

    Ng'ombe na mbuzi wa kisasa wanapatikana

    Wewe kazi yako itakua ni kupokea kutokana na eneo ulipo, unalipia kabla, Fleckvieh wanapatikana, inbox namba yako ili upate maelezo zaidi. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. C

    Ng'ombe na mbuzi wa kisasa wanapatikana

    Unahitaji ng'ombe au mbuzi wa kisasa? Habari wanajamii, Soma kipeperushi kilichoambatanishwa hapa chini, Wanyama hawa wanapatikana Kenya, ni pure breed, Bei zinatofautiana kulingana na umri nk, Ng'ombe wa maziwa bei kuanzia mil 2 na kuendelea. First batch itaingia tz feb 25, 2019...
  9. C

    Experience Agriculture in Kenya#study tour

    Mode naomba unibadilishie title iwe Experience Kenya in Agriculture Sent using Jamii Forums mobile app
  10. C

    Experience Agriculture in Kenya#study tour

    Wote Mnakaribishwa Sent using Jamii Forums mobile app
  11. C

    Safari ya mafunzo nchini Kenya

    Asantee Sent using Jamii Forums mobile app
  12. C

    Safari ya mafunzo nchini Kenya

    Asante tunashukuru Sent using Jamii Forums mobile app
  13. C

    Safari ya mafunzo nchini Kenya

    Asante sana na karibu Sent using Jamii Forums mobile app
  14. C

    Safari ya mafunzo nchini Kenya

    Asante tunakushukuru.Karibu sana Sent using Jamii Forums mobile app
  15. C

    Safari ya mafunzo nchini Kenya

    Sasa @chasha kwenye tangazo utaweka details zote hizo? Hilo litakua tangazo au makala? Naomba nikujibu kama ifuatavyo 1.tutatembelea nairobi,nakuru na maeneo ya jirani 2.kampuni ni za kenya ndizo tutakazozitembelea, wakulima/wafugaji wa Kenya medium na large scale, viwanda ni vidogo na kati...
Back
Top Bottom