Ushabiki ni hali kama ya upendo fulani juu ya jambo fulani kwa sababu fulani tu za kimaslahi,mimi nauita unafiki na upendo wa kiutumwa,,upo tu ili usaidiwe au upate kusaidika pia upendo huu unaweza ukawepo kwa mtu basi tu nae awemo hata hajui kitu hana uelewa wowote,,mimi nawaita mashankupe...
Ninachoamini mimi katiba tuitakayo tutaipata tu,waache ukawa wafanye yao na ccm wafanye yao na kila mmoja wao na Mungu wake,i mean Mungu wa ccm na Mungu wa ukawa
Katiba yetu iliyotokana na maoni yetu tume ikayapokea na imewapa ,waifanyie kilichowapeleka bungeni.
Ole wenu ole wenu wenye nia ovu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.