Habari wana JF.
Mdogo wangu mwenye umri wa miaka 24 anashida, ni mwezi wa pili sasa kigacha cha mkono wa kulia hakifanyi kazi, kimepooza. Kwa sasa imepelekea kushindwa kushika kalamu wala kitu chochote.
Naomba msaada wa kimawazo, sijui anaumwa nini, tumeenda hospital kadhaa wanampiga x-ray...
Habari wakuu. Naomba msaada, kama kuna mtu anabet kwa kutumia application mpya ya meridianbet. Anijuze jinsi ya kupata mechi zinazocheza leo leo. Nakumbuka ile app ya zamani nilikuwa napata kwa kubonyeza Today matches. Sasa kwenye hii app mpya sijaona section hii, hivyo inanilazimu nifungue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.