Tume ya Taifa ya Uchaguzi ipo kikatiba kwa mujibu wa Ibara ya 74(1-5 na mjukumu yake Ibara ya 74 (6) (a-e), kifungu cha 4c cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi Sura ya 343 na Tume kuwa chombo huru kwa mujibu wa Ibara 7 na 11. Tume pia ipo kwenye katiba pendekezwa. Kama ni mabadiliko lazima Katiba...
Uchaguzi ulikuwa hururu wa wazi na wa haki kwa sabau hata kesi zilizofunguliwa za kupinga matokeo ya Ubunge na Udiwani zilikuwa chache ukilinganisha na chaguzi za miaka iliyopita
Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 ulikuwa Huru, Wazi na wa kidemokrasia kwa sababu hata kesi za kupinga matokeo ya Ubunge na Udiwani zilikuwa chache ukilinganisha na Chaguzi za miaka iliyopita. Chaguzi za Ubunge zilizofunguliwa ni nne na za Udiwani ni 11 na zote zimeshasikizwa na kumalizika kwa...
Wewe kweli siyo mzalendo wa nchi yako. wenzetu wazungu waqlendelea kwa sababu ya uzalendo na kupenda vya kwao. hata sisi sisi tukiwa wazalendo na kupenda vya kwetu tutaendelea. Wazungu wanatengeneza bidhaa zao na sisi waafrika tunatengeneza za kwetu lakini utashangaa mwafrika ananunua vya...
Mwenye Busara anatembea na wenye Hekima, lakini Mpumbavu anazidi kwenda mbele na lazima aumie.Mnaopinga Mtokeo ya Tume unaushahidi gani huku ukikaa na kusema mwenyewe huko Pembeni umeonewa. Njoo Tume ya Uchaguzi kama Viongozi wa Dini na watu mbalimbali waliotembelea Tume na kupata Hekima na...
Namshukuru Rais amejitolea kwa nchi yake kutangaza utalii na vivutio vya nchi kwa watalii. Lakini swali ninalojiuliza, hawa Mawaziri wa hizi Wizara na Mabalozi aliowateua wanakazi kani mpaka Rais mwenye majukumu makubwa ya kuongoza nchi anawasaidia kazi zo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.