Chini ya uongozi wa Rais Samia, vijiji vyenye huduma ya maji mkoani Geita vimeongezeka kutoka 204 hadi 420 kati ya vijiji 486, huku visima vya maji vikiongezeka kutoka 299 hadi 389 ndani ya miaka minne tu.
GEITA TUNATIKI✅
Mikopo ya 10% 👇🏽
Chini ya Rais Samia Mikopo ya 10% kwa vijana, wanawake na walemavu Arusha imeongezeka kutoka TZS 3.08bn (2021) hadi TZS 13.55bn (2025), ikinufaisha zaidi ya vikundi 1,380 na kuinua maisha yao kiuchumi.
Arusha OKTOBA Tunatiki ✅
Rais Samia amewekeza TZS bilioni 117 na kupeleka umeme katika vijiji vyote 368 mkoani Arusha, na kuufanya kuwa mkoa wa kwanza kufikia asilimia 100 ya upatikanaji wa umeme vijijini. Kaya 137,100 zimeunganishwa kati ya 2020–2025.
Arusha OKTOBA Tunatiki ✅
Hapana mkuu. Nguzo mojawapo ya dira ni kuhakikisha kuwa nchi inakua na uchumi imara, jumuishi na shindani. Misingi iliyowekwa ikiwemo uhakika wa upatikanaji wa umeme, unachochea uwekezaji zaidi katika viwanda na kukuza uzalishaji.Hii itasaidia kuimarisha nguvu ya shilingi, kuongeza mauzo ya...
Sio Maneno Mkuu,Kazi imefanyika. Wachimbaji wadogo wa madini wamewekewa masoko maalum ya madini ambayo yamezuia utoroshaji wa madini ambapo wachimbaji wanapata faida moja kwa moja na serikali inaingiza mapato
Mojawapo ya sekta zilizochaguliwa kupewa kipaumbele na Dira2050 ya maendeleo katika kuleta mageuzi kiuchumi ifikapo 2050 ni sekta ya madini ambayo kwa kipindi cha miaka kumi (2014-2024) imekuwa ikikua kwa wastani wa 9% mpaka 10% ambapo jumla ya mchango wake katika pato la taifa kwa kipindi cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.