Sio sahihi kama wamekata kabla ya tarehe za mishahara. Lakini tarehe za mishahara zikifika na mshahara haujaingia kwa kawaida system inakata pesa yoyote iliyopo kwenye akaunti kama rejesho la mkopo.
Mfano NMB wanakata tarehe 20 ya kila mwezi ili kulipa mkopo hata kama pesa haitoshi mshahara...
Ulichosema ni kweli. Kuna kabila moja hapa nchini (sitalitaja) ambapo zamani akifa chifu wakati wa mazishi lazima apatikane mtu wa "kumsindikiza". Yaani mtu anazikwa kaburini pamoja na chifu ila yeye anapaswa kuzikwa akiwa hai. Anakalishwa pembeni mwa maiti ya chifu kisha kaburi linafukiwa.
Kuna...
Soundbars za Hometech hazina tofauti na subwoofer za Hometech. Ukiangalia hata bei zinaendana. Huwezi kutarajia chochote cha ziada kwenye soundbar ya 250k au 300k. Hizo ni stereo systems za kawaida za kichina. Kama ukinunua utakachopata ni kile tu unachopata kwenye subwoofer za kichina.
Sauti inasafiri kwa njia ya mawimbi kama mawimbi ya bahari. Mawimbi hupanda na kushuka kwa hiyo kipimo cha mawimbi Hz inamaanisha ni mara ngapi mawimbi yanajirudia kwa kila sekunde.
Kwa hiyo mawimbi ya 100Hz maana yake ni kwamba yanapanda na kushuka mara 100 kwa kila sekunde.
Spika za sound...
Hivi kuna simu zilizotengenezwa maalum kwa ajili ya kukopesha?
Mimi ninachoelewa ni kuwa ni simu za kawaida ni juu yako kuuza cash au kukopesha. Kinachohitajika ni program ya kuzidhibiti ili mkopaji akizingua marejesho simu isifanye kazi mkose wote. Vinginevyo ni simu za kawaida tu unajumua...
Mkuu mbona DSRL ni za kiwango cha juu sana, hizo ni za professional photographers na bei yake iko juu. Inaonekana bajeti yake ni ndogo. Kama hawezi kutumia simu basi anunue digital cameras za casual photographers mfano za Nikon, Canon Sony, nk.
Shuhuda za watu sio za kuzitegemea kwa sababu wengine wanatengenezwa na matapeli au ndio matapeli wenyewe.
Pili mtu akikushawishi uwekeze kwenye biashara mwombe akutumie kitambulisho cha taifa lake ili uhakiki utambulisho wake. Matapeli hawataki kujulikana. Ukiomba kitambulisho wanakimbia🏃➡️
GSDA ni TV nzuri inayopatikana kwa bei nafuu na zinatumia android OS, zinatoa picha nzuri mfano Ultra HD 4K na pia smart models zinasapoti streaming services kama Netflix and YouTube, nk. Pia wireless connectivity kama Bluetooth, WiFi.
Hata hivyo linapokuja suala la durability na premium...
Kuna solution ya kusafishia DVD kwa kutumia sponge waliokuwekea. Jaribu kuisafisha huenda ni alama za vidole au uchafu mwingine. Lakini unaweza pia kutumia kitambaa safi chenye unyevu ikiwa ni njia ya kienyeji kidogo lakini muda mwingine inafanya kazi. Ila kama hiyo disc imekaa sana na kuna...
Hata mimi yalinikuta. Kabadilisha hadi email hata ukijaribu kureset wanatuma code kwenye email ya kwao sio yangu sasa unarudisha vipi hiyo account? Hiyo imeenda.
Nilichofanya ni kufungua mpya na kuwaonya watu kuwa hizo message za pesa zinatoka kwa wezi sio zangu basi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.