That sovereighnity is the devil's hiden secret ...you kill people intentionally because of political interest not otherwise! I know this letter is nothing to you until your stiff neck is broken!
Yaani Mungu ni mkubwa kwakweli...Lisu anakuja wakati ambao master planer wa tukio sio gavana tena wa kipande cha dasalama! Wamepigwa upofu kama wale washenzi wa sodoma na gomola.karibu home kipenzi cha watanzania!
Na wanaochukua fomu kupitia chadema mwaka huu ni wapinzani wakweli kabisa waangaliwe kwa mtazamo wa kimapinduzi...sio huo utitili njaa wa ccm ...lao ni kutaka magufuli awaibie kura tu,ebooooo!
Sisi tukiingia madaramani kitu cha mwanza mbunge lazima awe na taaluma flani....haiwezekani tupeleke mipasho bungeni halafu tutegemee kuwa na katiba imara inayolinda maslahi ya taifa...emu wakasome huko ebooo
Hata angejenga barabara kuelekea mbinguni kama hajali maisha ya watu kwa upatikanaji wa ajira, madawa hospitalini,masoko ya mazao nk tutamnyima kura tuu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.