Hivi umeshawahi kusafiri kwa gari speed ya 160km/saa, kigonga kitu kizito na kusimama ghafula, wote mliomo ndani mtatokea kioo Cha mbele. Sasa dunia inasafiri zaidi ya km 100,000/saa. Fikiria ikipiga break ghafula. Kila mtu atapaa Kuelekea nje ya dunia
SURE, Huyu jamaa nature yake, haogopi watu wala vitisho. Tunahitaji mtu wa namna hii kwa sasa. Ujinga ujinga na utapeli vimezidi nchi hii. Uzembe mwingi sana
Ujinga kama huu wa maamuzi ya hovyo nimeukuta Ruvuma na Iringa. Yaani watu mnalazimishwa kushuka Stendi halafu stendi yenyewe ipo mbali na mji, hali basi linaekea mjini. Hawa jamaa maamuzi yao huwa ya ajabu sana.
Hivi karibuni Mh. Waziri Lukuvi ameagiza gharama za urasimishaji zisizidi Tzs.150,000 nchini kote. Ila Manispaa ya Iringa bado wanatoza Tzs.250,000 kwa sqm 400. Nimeona mama mmoja mnyonge ameshindwa kabisa kutoa hiyo hela. Swali langu ni kwamba hivi ni upigaji au ndo gharama zimebadilika...
Daa! Zabibu ndo balaa! nilikula zabibu Dom, baada ya hapo niwaomba wanishushe mlandizi nikate gogo. Niliona hata bar ipo mbali wakati ipo tu barabarani. Mtu ukisafiri ni bora ule biscuits tu au ule vyakula ulivyovizoea
du, usiombe yakukute. Nimetokea zangu Moshi, baadaya la kula chakula tu pale Mombo tumbo likanishika. Nilijikaza mpaka nikatoaka jasho baada ya hapo nikamwita binti(konda) asimamishe nikaharishe porini. Ile wamesimamisha tu basi nichimbe dawa; kumbe sikuwa peke yangu, watu aliingia vichakani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.