Recent content by Cool

  1. Cool

    Abiria wagoma kushuka kwenye kituo cha mabasi cha Magufuli, Mbezi Louis

    Ujinga kama huu wa maamuzi ya hovyo nimeukuta Ruvuma na Iringa. Yaani watu mnalazimishwa kushuka Stendi halafu stendi yenyewe ipo mbali na mji, hali basi linaekea mjini. Hawa jamaa maamuzi yao huwa ya ajabu sana.
  2. Cool

    Tahadhari: Kwa watafuta ajira usijaribu kuomba wala kufanya kazi hospitali hizi jijini Mwanza

    We jamaa hata kibarua tu akikufanyia kazi yako hapo usipomdhulumu ashukuru sana. Wapo jamaa umewatendea ndiyo sivyo hapo. Nawafahamu
  3. Cool

    Tahadhari: Kwa watafuta ajira usijaribu kuomba wala kufanya kazi hospitali hizi jijini Mwanza

    Ila Uhuru Hospital hata Mimi yalinikuta. Yule jamaa ni mbabaishaji sana. Halafu ana hasira za hapa na pale
  4. Cool

    Vituo vya mafuta katikati ya mji na makazi ya watu Dar: Bomu linalosubiri maafa makubwa

    Nilijaribu kuvihesabu nilishindwa nikaishia 11 maana kila siku vinaongezeka. Kufikia mwakani vitazidi 15 nahisi
  5. Cool

    Vituo vya mafuta katikati ya mji na makazi ya watu Dar: Bomu linalosubiri maafa makubwa

    Njia ya Mbezi beach to Mbezi mwisho kupitia Goba ni balaa. Naona wawekezaji wameamua
  6. Cool

    Kwa tulioumwa mafua yale ni mashahidi tosha, nahisi ile ilikuwa ni Covid 19

    Du! Hata Mimi hii kitu ilinitesa. Kumbe wengi waliumwa mtindo huu
  7. Cool

    Zoezi la urasimishaji Iringa lina upigaji pesa

    Hivi karibuni Mh. Waziri Lukuvi ameagiza gharama za urasimishaji zisizidi Tzs.150,000 nchini kote. Ila Manispaa ya Iringa bado wanatoza Tzs.250,000 kwa sqm 400. Nimeona mama mmoja mnyonge ameshindwa kabisa kutoa hiyo hela. Swali langu ni kwamba hivi ni upigaji au ndo gharama zimebadilika...
  8. Cool

    Ulishawahi kuugua tumbo ukiwa safarini?

    Daa! Zabibu ndo balaa! nilikula zabibu Dom, baada ya hapo niwaomba wanishushe mlandizi nikate gogo. Niliona hata bar ipo mbali wakati ipo tu barabarani. Mtu ukisafiri ni bora ule biscuits tu au ule vyakula ulivyovizoea
  9. Cool

    Ulishawahi kuugua tumbo ukiwa safarini?

    du, usiombe yakukute. Nimetokea zangu Moshi, baadaya la kula chakula tu pale Mombo tumbo likanishika. Nilijikaza mpaka nikatoaka jasho baada ya hapo nikamwita binti(konda) asimamishe nikaharishe porini. Ile wamesimamisha tu basi nichimbe dawa; kumbe sikuwa peke yangu, watu aliingia vichakani...
  10. Cool

    Sitosahau siku ambayo tulifika Mbeya saa saba mchana. Njia nzima nilitubu dhambi zangu

    Du! hiyo kali. Tumewahi panda Basi la MASIA kutoka DAR-MBEYA,Iringa tuliingia saa sita kasoro.
  11. Cool

    Ujumbe wa wazi kwa John Mnyika na hali ilivyo jimboni kwake

    Ni kweli kabisa. Mtoa mada ameongea ukweli mtupu, shida tulizo nazo wakaazi wa huku si ngumu sana kuzitatua ila tumekosa uongozi madhubuti wa kutatua shida zetu. Suala la usafiri na maji ndo shida inayoonekana ni kubwa. Angalau mbunge wetu angesema neno tu tuone kinachoendelea,
  12. Cool

    Hii ndio Iringa halisi na watu wake

    Inamaa mji Wa Iringa msafi hivi? Wenzetu wanafanyeje? Wana Sera gani za usafi? Imekuwa ya ngapi kiusafi kitaifa?
  13. Cool

    Ujumbe toka Kanda ya Ziwa kwa wanaume wa Dar es salaam

    Jamani hivi hizi picha magazeti ya Kitanzania yalizitoa kana kwamba ni za watu wanaowakimbia Panya road kumbe siyo, zilikuwa ni za milipuko ya mabomu ya Gongo la Mbotho mwaka 2011. Jionee mwenyewe hapa KAMANDA WA MATUKIO: HEKAHEKA ZA KUKIMBIA MABOMU DAR USIKU
  14. Cool

    Ma-Professor wa vyuo vikuu wanapolazimisha watu kununua pamphlets zao

    Sijaelewa ni kwa nini hili suala linakaliwa kimya namna hii. Kuna baadhi ya wahadhili wa vyuo vikuu hasa UDSM na campus zake wanawalazimisha wanafunzi eti ili ufaulu lazima ununue pamphlet langu. Na ukinunua anakuandika jina kabisa ili siku anaposahihisha ajue adui yake ni nani ili amkamate...
  15. Cool

    Watu wa benki jamani mnanitia majaribuni

    Sema, NAMKATAA SHETANI NA KAZI ZAKE ZOTE, kisha potezea
Back
Top Bottom