Ujinga kama huu wa maamuzi ya hovyo nimeukuta Ruvuma na Iringa. Yaani watu mnalazimishwa kushuka Stendi halafu stendi yenyewe ipo mbali na mji, hali basi linaekea mjini. Hawa jamaa maamuzi yao huwa ya ajabu sana.
Hivi karibuni Mh. Waziri Lukuvi ameagiza gharama za urasimishaji zisizidi Tzs.150,000 nchini kote. Ila Manispaa ya Iringa bado wanatoza Tzs.250,000 kwa sqm 400. Nimeona mama mmoja mnyonge ameshindwa kabisa kutoa hiyo hela. Swali langu ni kwamba hivi ni upigaji au ndo gharama zimebadilika...
Daa! Zabibu ndo balaa! nilikula zabibu Dom, baada ya hapo niwaomba wanishushe mlandizi nikate gogo. Niliona hata bar ipo mbali wakati ipo tu barabarani. Mtu ukisafiri ni bora ule biscuits tu au ule vyakula ulivyovizoea
du, usiombe yakukute. Nimetokea zangu Moshi, baadaya la kula chakula tu pale Mombo tumbo likanishika. Nilijikaza mpaka nikatoaka jasho baada ya hapo nikamwita binti(konda) asimamishe nikaharishe porini. Ile wamesimamisha tu basi nichimbe dawa; kumbe sikuwa peke yangu, watu aliingia vichakani...
Ni kweli kabisa. Mtoa mada ameongea ukweli mtupu, shida tulizo nazo wakaazi wa huku si ngumu sana kuzitatua ila tumekosa uongozi madhubuti wa kutatua shida zetu. Suala la usafiri na maji ndo shida inayoonekana ni kubwa. Angalau mbunge wetu angesema neno tu tuone kinachoendelea,
Jamani hivi hizi picha magazeti ya Kitanzania yalizitoa kana kwamba ni za watu wanaowakimbia Panya road kumbe siyo, zilikuwa ni za milipuko ya mabomu ya Gongo la Mbotho mwaka 2011. Jionee mwenyewe hapa
KAMANDA WA MATUKIO: HEKAHEKA ZA KUKIMBIA MABOMU DAR USIKU
Sijaelewa ni kwa nini hili suala linakaliwa kimya namna hii. Kuna baadhi ya wahadhili wa vyuo vikuu hasa UDSM na campus zake wanawalazimisha wanafunzi eti ili ufaulu lazima ununue pamphlet langu.
Na ukinunua anakuandika jina kabisa ili siku anaposahihisha ajue adui yake ni nani ili amkamate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.