Recent content by Cool pegionvocalvoic

  1. C

    Rais Kikwete, Obama asije kukushauri ndoa za jinsia moja ukakubali

    unalosema ni la kweli, kwa maana hiyo kwa sababu hadi sasa hatuna katiba/sheria inayopinga ushoga, inamaana kila mwananchi anahaki ya endapo atataka kuwa shoga au la. Alafu tambua tu kuwa ni maneno na porojo zinazungumzwa kuhusiana na ushoga, kwa mtazamo wangu naona mashoga wapo nchini kwetu. na...
  2. C

    Picha mbili zinayofikirisha - Mikutano ya Kinana

    Ndiyo siasa zimekatazwa, lakini wenye haki ya kuziendesha mashulen ni sisi sisiem, kwani huelewi bro!!! hii ndiyo nchi yetu ya utawala wenye maamuzi yenye sub standards.keep
  3. C

    Adhabu ya siku tano kwa wabunge wa CHADEMA haitoshi - Dr. Bana

    Kwani hamuwajui best CCM political analysts?
  4. C

    CCM tupo katika mwanguko mkubwa

    Unajua linalozungumzwa katika thread hii lina asilimia nyingi za ukweli ndani yake. Mchangiaji anayeingiza mada ya KINANA AZIDI KUWACHARAZA MBOKO ZA MGONGO HUKO MOROGORO , kwa mtu mwenye kufikiria vizuri utagundua ni mmoja kati ya waliotajwa katika thread hii, kwani hatofautiani kabisa na mawazo...
Back
Top Bottom