Recent content by conclusion

  1. C

    Wakisema waendesha bodaboda sawa, ila hata kwa Wasomi? Tumepoteza matumaini

    Na mm nina degree, I will vote for Lowasa
  2. C

    Dr. Slaa tafadhali sana baba, tumeyaona uliyoyafanya

    Ni kwel tuna majembe weng cdm, ila watanzania kama mimi weng wana iman na dr. Slaa. Sio hvyo tu misimamo yke huwa iko makin..., tusikubal kumchukulia kawaida hta kdgo! Unajua kwnn cdm leo inao wabunge wte hao?
  3. C

    Dr. Slaa tafadhali sana baba, tumeyaona uliyoyafanya

    Pengine hii ni njia pekee nayoweza kuwasiliana nawe. Tanzania inakuhitaj sana katka nyakat hiz, sio kwa wana chadema tu bal pia ccm kwn hata wao wamechoka na chama chao. Ninakuheshm sana, na pia mchango wko ktk taifa. Kwa sasa sio mda wa kurud nyuma, let's keep the focus, Naamin unalinda utu...
  4. C

    Prof Lipumba akosoa uteuzi wa waziri wa fedha Saada Salumu

    Huwa nakushangaa mitizamo yko, man yu better stay silence to hide ur empty brain!
  5. C

    Udhalilishwaji huu uliofanywa na Mnyika kwa walimu haukubaliki hata kidogo

    Kwn alsema hyo katka muktadha gan? maana neno linakuwa tusi kutokana na muktadha au namna lilvyotumika! Mada yko haijitoshelez
  6. C

    Nani mwanasiasa bora wa mwaka 2013?

    1. Tundu Lissu 2. Kinana 3. Mwigulu 4. JjMnyika
  7. C

    Yaliyojiri: Kongamano la Vijana - LandMark Hotel - Disemba 9, 2013

    Nmependa hii picha! Hamna alyeletwa na Lori wala waloongwaa ubwabwa,tshirt, kofia na khanga. Wote nawaona niwenye kiu ya mabadilko
  8. C

    Wenje awadanganya, kuwadhihaki na kuwaibia wananchi wa nyamagana

    Mlitaka atoe ubwabwa kama Tibaijuka au Kanga kama mlvyo CCM? Learn to admit
  9. C

    Matokeo yote ya Kidato cha Nne 2012 kufutwa na kutolewa Mazuri zaidi: Tume ya Pinda

    kizungu zungu, naona kizungu zungu :confused3:
  10. C

    Vipaji maalum si lolote, si chochote

    mbona yakitoka ya 4m 6 huwa csikii hayo maneno?
  11. C

    HakiElimu: Tanzania Haijawa na Mtaala wa Elimu Kwa Miaka Mingi

    wizara ya elimu ina matatizo meng yanayoirudisha tz nyuma; mitaala; a-level hakuna vitabu vya tz 2natumia vya nje na wizara 2nayo
Back
Top Bottom