Ni kwel tuna majembe weng cdm, ila watanzania kama mimi weng wana iman na dr. Slaa. Sio hvyo tu misimamo yke huwa iko makin..., tusikubal kumchukulia kawaida hta kdgo! Unajua kwnn cdm leo inao wabunge wte hao?
Pengine hii ni njia pekee nayoweza kuwasiliana nawe.
Tanzania inakuhitaj sana katka nyakat hiz, sio kwa wana chadema tu bal pia ccm kwn hata wao wamechoka na chama chao. Ninakuheshm sana, na pia mchango wko ktk taifa. Kwa sasa sio mda wa kurud nyuma, let's keep the focus, Naamin unalinda utu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.