Recent content by Comrade Mrisha

  1. Comrade Mrisha

    GE2020 Msije kusema hamkuambiwa, takwimu ziko wazi hizi CCM kushinda kwa kishindo

    Uchaguzi ni mahesabu na hizo hesabu ndiyo ushindi wa Chama chochote kwenye uchaguzi. Hesabu na namba hazidanganyi. Kwa mujibu wa Taarifa ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jumla ya Watanzania wote waliojiandikisha kupiga kura ni 29,188,347 ambao hawa wataweza kupiga kura siku ya Jumatano Oktoba...
  2. Comrade Mrisha

    Wapinzani wa Tanzania wanataka nini tena?

    WAPINZANI WA TANZANIA WANATAKA NINI TENA? Miaka ya 2010 kuelekea 2015 vyama vya upinzani vilipata nguvu kubwa sana ya kuungwa mkono mno na wananchi hasa kwa ajenda zao kubwa zilizowavutia sana Watanzania zilizobeba adhima ya kukemea vitendo vya ufisadi, rushwa, uzembe serikalini, matumizi...
  3. Comrade Mrisha

    Magufuli anapomuenzi Nyerere kwa vitendo

    Katiba ya Warioba imefanyaje?
  4. Comrade Mrisha

    Magufuli anapomuenzi Nyerere kwa vitendo

    Je unaweza kutaja mabaya yake?Na utuambie na uzuri wa wagombea wengine
  5. Comrade Mrisha

    Magufuli anapomuenzi Nyerere kwa vitendo

    MITANO TENA RAIS MAGUFULI ANAPOMUENZI KWA VITENDO MWALIMU NYERERE Watanzania tunaadhimisha miaka 21 tangu kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere tukiwa na sura yenye matumaini baada ya kufanikiwa kumpata kiongozi anayemuenzi vyema kwa matendo Mwalimu Nyerere. Naam...
  6. Comrade Mrisha

    GE2020 EXCLUSIVE: Maswali kwa Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu kutoka kwa Watanzania watumiao mitandao ya kijamii

    Naomba anijibu alivyosema wafugaji wataruhusiwa kwenda kuchunga kwenye hifadhi alikua na akili timamu au alikua ashavuta bangi?
  7. Comrade Mrisha

    Maalim Seif Sharif Hamad at 77th year anatafuta nini kwenye Siasa?

    Swali zuri ambalo wanzazibar wanatakiwa wajiulize ni hilo kua anatafuta nini??miaka 77yote
  8. Comrade Mrisha

    Maalim Seif Sharif: Mwisho wa enzi, Pemba

    Kwakua lengo la seif sio jema basi hata akishindwa hatakubal na badala yake ataona kaonewa
  9. Comrade Mrisha

    Uzinduzi wa kampeni za CCM Zanzibar: Mwinyi kuhakikisha Zanzibar inanufaika na bahari, kuleta Upendo na amani

    Dkt Hussein Ally Mwinyi ana sifa zote za kua Rais Wa Zanzibar.
  10. Comrade Mrisha

    Uzinduzi wa kampeni za CCM Zanzibar: Mwinyi kuhakikisha Zanzibar inanufaika na bahari, kuleta Upendo na amani

    Huyo anaeleta ubaguzi kua eti mwinyi sio mzanzibar endele kujijaza ujinga.Mhe Rais Mstaafu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania awamu ya pili Mzee wetu Ally Hassan Mwinyi alikua sio mzanzibar?? sio aliemzaa Dr.Mwinyi acheni siasa za maji taka.
  11. Comrade Mrisha

    GE2020 Sababu kuntu 5 za kwanini Rais Magufuli atashinda tena Uchaguzi huu

    Nimependa hapo kua sera ningi za wapinzani ni vichekesho tupu hiyo ni kweli kabisa yani ukiwasikiliza wapinzani wa nchi hii unaweza ukacheka sana yani hakuna sera hata moja wanayo itangaza tofauti na kuangalia magufuli kakosea wapi ndo wanapata cha kuongea kwenye kampeni zao sasa unajiuliza hayo...
  12. Comrade Mrisha

    GE2020 Takwimu hazidanganyi: CCM wameshashinda Uchaguzi kwa Idadi ya Kura za Kanda ya Ziwa

    Sasa mbona hata hueleweki mzee unazunguka halafu tunashindwa kuelewa una zunguka nini hivo??
Back
Top Bottom