Recent content by comrade Malilo

  1. comrade Malilo

    Nzuguni Dodoma, hatuna maji kwa zaidi ya miezi miwili na bili tunalipiswa. DUWASA wako kimya

    Kwa zaidi ya miezi miwili maji hayatoki mitaa ya Nzuguni B’ Dodoma, na DUWASA haisemi chochote, then chakushangaza bado tunaletewa bili tulipe. Tafadhali Wizara ya Maji na mamlaka husika zichukue hatua juu ya hili swala.
  2. comrade Malilo

    Salamu kwenu wakulungwa

    Natanguliza Salamu kwenu wana jukwaaa..
Back
Top Bottom