Recent content by ComputersDAR

  1. C

    INAUZWA Nauza ECU YA BMW N46

    Bado inauzwa
  2. C

    Kinondoni; Matumizi 4 Ya Vibali Vya Ujenzi Kwenye Uwekezaji Ardhi Na Majengo

    Ni utaratibu gani unatakiwa kufuatwa na Manispaa pale ambapo mhusika amegundulika kuwa ameanza ujenzi wa nyumba ya makazi ya kawaida isiyo ghorofa kwenye kiwanja chake halali kisicho na mgogoro wowote lakini bila ya kuwa na kibali cha ujenzi kuoka manispaa. Jee, ni sawa kama mtu ameanza ujenzi...
  3. C

    Mbinu watumiazo Mafundi Ujenzi kuibia mabosi zao

    Kupigwa ni lazima. Hizi mbinu nyingi wanatumia haswa kwa wanaofanya ujenzi kwa mara ya kwanza. Usikubali kufanya manunuzi maduka anayoshauri fundi. Lakini umakini mkubwa unahitajika kwenye manunuzi ya vifaa vya umeme. Hapa ndiyo unapigwa vibaya. Mimi nililetewa Main Switch ya laki 3 wakati...
  4. C

    Utaratibu wa Manispaa Kulipishwa Faini ya Kujenga Bila Kibali

    Hizi Municipal Bylaws wanazotumia Manispaa nimetafuta sana sijaona wameweka utaratibu/mwongozo wa kulipa faini ya 2%.
  5. C

    Utaratibu wa Manispaa Kulipishwa Faini ya Kujenga Bila Kibali

    Wameangalia satellite image kwenye mfumo wao wakaona kiwanja kina mjengo
  6. C

    Utaratibu wa Manispaa Kulipishwa Faini ya Kujenga Bila Kibali

    Wakuu heshima kwenu Nahitaji msaada kuhusu utaratibu wa Manispaa pale ambapo mhusika amegundulika kuwa ameanza ujenzi wa nyumba ya makazi ya kawaida isiyo ghorofa kwenye kiwanja chake halali kisicho na mgogoro wowote lakini bila ya kuwa na kibali cha ujenzi kuoka manispaa. Jee, ni sawa kama...
  7. C

    Utaratibu wa Manispaa Hadi Kulipishwa Faini ya Kujenga Bila Kibali

    Wakuu heshima kwenu Nahitaji msaada kuhusu utaratibu wa Manispaa pale ambapo mhusika amegundulika kuwa ameanza ujenzi wa nyumba ya makazi ya kawaida isiyo ghorofa kwenye kiwanja chake halali kisicho na mgogoro wowote lakini bila ya kuwa na kibali cha ujenzi kuoka manispaa. Jee, ni sawa kama...
  8. C

    Wapi naweza kupata huduma ya TV screen bonding?

    Habari zenu wakuu Nahitaji kuondoa mistari kwenye flat screen ya TV yangu. Kuna hii huduma ya LCD LED OLED etc screen bonding ambayo ndiyo suluhisho. Jee, kwa anayejua, niende wapi kupata huduma hii kwa Dar es Salaam, na gharama yake ni kiasi gani? Natanguliza shukrani.
  9. C

    Naomba kujua kuhusu Akuzamu International Church

    Aisee? Mbona kwenye video na picha mitandao ya kijamii ni watu wa kawaida tu? Vijana wengi
  10. C

    Naomba kujua kuhusu Akuzamu International Church

    Nimeona insta account ya hilo kanisa Mchungaji anaitwa Edward Amiri. Huyu jamaa ana professional background gani? Kwahiyo wengi kama nimeelewa hoja zenu vizuri ni kwamba hili kanisa limekaa kibiashara/kitapeli zaidi?
Back
Top Bottom