Recent content by Complicator

  1. Complicator

    Achana na hoteli/guest house unapofika Zanzibar, nyumba za kufikia(appartments) ni nafuu zaidi na salama

    i nategemea na aliyekuhudumia lakini ni hizo hizo, kila mmoja anazo zake anazohudumia…siyo kwamba ni mtu mmoja, hata wewe unaweza nunua ya kwako ukaanza pangisha, huduma unayotoa itategemea na mipango yako.
  2. Complicator

    Achana na hoteli/guest house unapofika Zanzibar, nyumba za kufikia(appartments) ni nafuu zaidi na salama

    zetu sisi na nani mkuu? jaribu kuhudumiwa na mimi nina uhakika utaleta feedback tofauti na hii.Karibu sana
  3. Complicator

    Achana na hoteli/guest house unapofika Zanzibar, nyumba za kufikia(appartments) ni nafuu zaidi na salama

    Ipo, ni nyumba ya kitanda kimoja na sitting room complete, kitanda chake na sitting room inaweza beba mpaka watu 4 kwa mpigo….ni nyie maamuzi yenu tu mkitaka kupunguza gharama. free breakfast Inakosa tu jiko bei ni 150,000/= per night.
  4. Complicator

    Achana na hoteli/guest house unapofika Zanzibar, nyumba za kufikia(appartments) ni nafuu zaidi na salama

    Mbweni-zanzibar beach dakika 5 tu forodhani dakika 10 tu wewe pika unachotaka, dhambi ni kuharibu tu miundombinu
  5. Complicator

    Achana na hoteli/guest house unapofika Zanzibar, nyumba za kufikia(appartments) ni nafuu zaidi na salama

    Ziko nyumba za aina tatu 1. Vyumba vitatu vya kulala, Vitanda vinne, wash room 2, sebule full furniture, free wifi, jiko kubwa lenye vifaa vyote, free parking, AC na balcony.- 250,000/= per night. Hii inaweza kuchukua mpaka watu 8 kutegemea na mtakavyoona nyie mnakua huru. 2. Vyumba viwili...
  6. Complicator

    Achana na hoteli/guest house unapofika Zanzibar, nyumba za kufikia(appartments) ni nafuu zaidi na salama

    Karibu Zanzibar! 🌴✨ Tunafurahi kukukaribisha kwenye nyumba yetu ya kupendeza iliyo karibu na pwani safi na mandhari ya kuvutia. Nyumba hii ina huduma zote muhimu kwa mapumziko yako ya kipekee – WiFi ya kasi, kiyoyozi, na mazingira tulivu. Tupo tayari kukusaidia kwa chochote unachohitaji ili...
  7. Complicator

    Nadharia: Jinsi law of magnetics itakavyozuia ajali barabarani

    kwa sababu hoja ni kuzuia ajali basi wataalamu wanaangalia solution rahisi kwa vigezo vingi…kwa hili la ajali solution ni miundombinu rafiki ya barabara,kufuata sheria (hakutumii hata mia), kutumia vyombo vya usafiri salama ,kuwa na watu wasio na msongo wa mawazo(uchumi) zipo nchi ambazo ajali...
  8. Complicator

    Nadharia: Jinsi law of magnetics itakavyozuia ajali barabarani

    wazo linatekelezeka tgeoretically lakini ukija practically inakua ngumu kwa sababu kadhaa moja,kwenye list ya forces magnetusm inaangukia kwenye fundamental forces ambazo ukitooa nuckear forces za ndani ya atommbili zinazobaki(weight na electromagnetism) ni weak sana ukilinganisha na force...
  9. Complicator

    AZAM TV na Bodi ya Ligi mnatuibia pesa watazamaji wa ligi kupitia king’amuzi chenu

    Naandika kwa masikitiko makubwa sana baada ya kugundua kwamba miezi miwili sasa imepita bila kuwa na mwendekezo mzuri wa kuonyesha mechi za ligi kuu ya nbc,ndani ya mwezi unaangalia game mbili au tatu halafu unatakiwa kulipia tena. Kwa mfano weekend hii iliyoisha kulikua na shida gani mpaka...
Back
Top Bottom