Wazazi hamuezi kubemenda mtoto hata msipooga baada ya kufanya sababu ile Ni damu yenu michepuko ndo inayosababisha mtoto kubemendeka note: mtoto wa kike anabemendwa zaidi na mama namtoto wa kiume anabemendwa zaidi na baba Ila mama akizidisha kutoka nje na watu tofauti ndo anaasilimia kubwa ya...
Jamani kubemenda kupo mtoto anabemendwa endapo mama atakua na mahusiano nje na yule mchepuko wake nao unachepuka hovyo pia baba hivyohivyo msilete uzungu mama hata ukioga ukajisafisha Kama unazini hovyo na wanaume tofauti like joto la mwili lazima limuathiri mtoto hata Kama analishe, utashangaa...
Utamu unapatikana ndani na si nje mngekua mnatizama sura ya nje au kimetuna au kimeingia ndani kina sura nzuri au sura mbaya tusingekua tunakufa na ukimwi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.