Recent content by comorado

  1. comorado

    Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele ‘Maslahi ya Taifa’?

    "In a time of deceit telling the truth is a revolutionary act" -George Orwell. Mungu atusaidie sana watanzania
  2. comorado

    Kumbe nchi hii kuna watu bado wanajilipa posho 400,000 kwa siku?

    Tatizo ni kwamba hata katika vipindi vilivyopita posho zilikuwepo kisheria lakini ikajaonekana kuwa watumishi walipaswa kutumikia mishahara yao hali ilyopelekea posho za vikao muda wa kazi kuondolewa. Tatizo hapa watuwanajiuliza malipo haya tena toka watendaji wa hazina inamaanisha nini? mashaka...
  3. comorado

    Nyerere Alifanya Makosa Makubwa...

    Inaonekana ni wewe ni mbepari sana
  4. comorado

    Nguvu na Kelele zote za Watanzania Roma Umeshindwa kusema Ukweli?

    kama kupitia hata mziki ameshindwa kusema ukweli sasa ukweli atausemea wapi? he proclaimed to be activist through his music where his activism know? late bush marley aliwahi sumbuliwa sana na utawala wa jamaica kipindi hicho adi kufikia hatua yakutaka kuuwawa kwa kupigwa risasi nyumbani kwake...
  5. comorado

    Brother Nape, kauli zako zimenihuzunisha sana

    Yaani hapa kwenye u mimi umemwona Nape2 haupo serious. Mkulu unamwona yuko sawa!...... Hao wote unaowasema kuwa pamoja na michango yao ya Maendeleo hawajawi semi ni mimi jibu ni raisi sana, hawajawahi onyeshewa mtutu wa bunduki na mpuuzi kama yule aliyemuoneshea nape kwaio hawakuwa na...
  6. comorado

    Watanzania, hatumjui Paul Makonda?!

    Naona umeamua kuchagua upande wa kutetea, mbaya zaidi kila lililofanywa na upande ulioamua kuushabikia according 2ur hypothesis ni sahivi, ila kila aliyejaribu kukosoa usanii uliokuwa ukiendelea according 2u hayuko sahihi. Ila kumbuka hii nchi ni yetu sote ukweli utaendelea kuwa ukweli2...
  7. comorado

    Mwalimu Nyerere pia alikuwa na vyeti vyenye majina tofauti

    hakuwa na haja ya kuonesha kwasababu hakutuhumiwa, lakini ukiwa kama kiongozi wa umma hamna namna ya kujisafisha zaidi ya kuwa transaperent
  8. comorado

    Mwalimu Nyerere pia alikuwa na vyeti vyenye majina tofauti

    pia hata kama hataki kumaliza uta imancepate ur self from mental slave, mwache muhusuka ajibu naona umeamua kuvaa uhusika wake kweli mungu akusaidie
  9. comorado

    Mwalimu Nyerere pia alikuwa na vyeti vyenye majina tofauti

    Ndiyo maana tunataka aonesho vyeti vyake akiwa kaama kiongozi wa umma anayetuhumiwa amalaize uzushi
  10. comorado

    Mwalimu Nyerere pia alikuwa na vyeti vyenye majina tofauti

    tatizo sio kuwa na vyeti tofauti anachotakiwa nikuonesha vyeti vyake kumaliza utata
  11. comorado

    Tetesi: 'Waandishi wa Makonda' kwenda Ziarani Koromije

    Wala haitajikita kutuma mtu kolomije toa vyeti2 unaendelea na mambo mengine. Hakuna haja hata ya taarifa kwa umma.
  12. comorado

    Gwajima achukuliwe hatua za kisheria

    Anayetakiwa kuonesha vyeti ni yule anayetuhumiwa elimu yake ili aondoe wingu lililotanda, kuendelea kukaa kimya haisaidii zaidi anapoteza credibility kutoka kwa wa tz.
  13. comorado

    Gwajima achukuliwe hatua za kisheria

    mbona gwajima alihusishwa na unga naakaenda central wakajiridhisha akaachiwa sasa mtu kuonesha vyetu nalo ni tatizo? hakuna usiri hapa maana hakusoma shule peke yake ugumu uko wapi. Hali hii inaendelea kutilia shaka sana elimu yake.
  14. comorado

    Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho dhidi ya mafanikio yake! Makonda wapuuze

    Haina haja ya kuhangaika kumsemea, kama vyeti vipo na yeye kama kiongozi ndiye anayetuhumiwa nikuita press kuonesha vyeti na kuwasihi wananchi kuaachana na uzushi wa mitandaoni. Lasivyo kuendelea kukaa kimya ligitimacy yake ya uongozi anapoteza 2mwamini nani sasa
  15. comorado

    Idara ya Uhamiaji iache kutumika kisiasa kwenye suala la Manji

    wewe unayoyaongea umeyafanyia research? kuwa..........lazima ataishiwa nguvu au atataka hata supplier wake amletee mahabusu ndo wamkamate! Mkojo au Damu kukutwa na particle yoyote ni suala lingine, nakuthibitisha unatumia hiyo particle ni suala lingine pia. Kampuni ni legal entity it can be...
Back
Top Bottom