Recent content by Common Citizen

  1. C

    Kwa ubunifu huu wa CHADEMA, CCM itasambaratishwa kirahisi sana!

    Mungu ibariki CDM,Mungu ibariki UKAWA.
  2. C

    CCM yapata pigo Mwanza, Mwenyekiti wa Mtaa wa nera ajiunga na CHADEMA

    Kashajitambua huyo mwenyekiti hakika ukombozi unakaribia.
  3. C

    Tundu Lissu katika makutano show kuanzia saa tisa

    Toa darasa kamanda Lissu.
  4. C

    Anayeona Posho Bunge la Katiba haitoshi, afungashe Virago!

    Hongera kwa msimamo wako ila ni nina wasiwasi na bosi wako anaweza akageuza msimamo,nawe ukawa kama Nape na Kinana.
  5. C

    Enzi za ujahilia, CHADEMA nilipotea

    Hilo shairi mpelekee JK atakupa uwaziri wa habari.ila muda wake ndo unaelekea ukingoni bro.
  6. C

    CHADEMA, CCM, CUF, NCCR, ADC na dini zao tujipange kwa upuuzi huu wa siasa hizi

    kaka upo sawa kabisa.kinachotakiwa sasa ni kuzipinga hizi propaganda hasa za kidini sio nzuri kwa ustawi wa taifa letu.vita ya dini haiamuliki kirahisi wadau,chagua diwani,mbunge,au raisi kwa kuangalia sera na itikadi za chama chake hayo mengine yaishie hukohuko makanisani na misikitini.
  7. C

    Pigo la Pili kwa Lowassa, bado la Tatu na la Mwisho!

    Vipi mbona povu jingi.taratibu tu mambo yatakaa kwenye mstari.
  8. C

    Majimbo yanayotawaliwa na CHADEMA yazidi kudhoofika kiuchumi kutokana na siasa chafu...

    Ni kweli kaka hata mimi huku niliko (korogwe vijijini,kijiji cha mashewa)kuna mdau mmoja alijitolea kulipia luku ya umeme kwenye zahanati ya hapa kijijini,lakini diwani alipojua tu kuwa mdau ni mwana chadema diwani alikwenda kuwapiga mkwara manesi,hatimae jamaa akazuiwa asinunue umeme kwa ajili...
  9. C

    Majimbo yanayotawaliwa na CHADEMA yazidi kudhoofika kiuchumi kutokana na siasa chafu...

    Unaweza kunitajia ni maandamano yapi yalishawahi kuharibu mali za umma?
  10. C

    Viongozi CHADEMA: Mshitakini Rais Jakaya Kikwete.Muda ndio Huu sasa!

    yote uliyoeleza kwenye bandiko lako ni kwamba ukiwa binadamu mzalendo mpenda maendeleo, unatakiwa uliondoe kwanza boriti lililo ndani ya jicho lako ndipo ukaondoe kibanzi kilichopo kwenye jicho la nduguyo.zipo wapi ahadi ambazo hazikutekelezeka mpaka leo ninavyoandika ambazo tuliahidiwa za...
  11. C

    Kuichagua CCM ni sawa na kulalia kisu chenye ncha kali tumboni

    Kwa kweli hali halisi ndivyo ilivyo huku kitaa.kwa kweli mleta mada kwa mtu anae kutusi,kukukejeli,kukudharau na n.k mimi naona kama haishi maisha ya Tanzania tuijuayo sanasana huku vijijini.jamani CCM acheni mzaha watu wanaumbuka huku vijijin maji shida,zahanati hazina matabibu,shule wanafunzi...
  12. C

    URAFIKI WA Ndesamburo kwa Lowassa SAWA, Arfi kwa Pinda NONGWA.

    Acha ujangili wa kisiasa wewe na usilazimishe watu wajitenge kwa itikadi za kikabila,kidini na kikanda.ulaaniwe wewe na kizazi chako,mwenzio akipiga hatua kimaendeleo usimwonee wivu bali jaribu kuomba ushauri kwake na akupe siri ya mafanikio.yani wewe umekaa kuwaponda tu watu wa kaskazini kila...
  13. C

    Karibuni kumbukumbu ya Dr Daud Balali aliyekuwa gavana wa BOT

    Tanzania kila kitu kinawezekana...isipokuwa maendeleo.
Back
Top Bottom