Recent content by COMMAN

  1. COMMAN

    Nipo Tunduma, toka mafuta yapande yafikie 2,900 nauli tunalipa 1,000 ya daladala kituo kwa kituo

    Tulimisi vingne sio haya.watendaji hawamsaidii mama...labda mama anajua nauli ni ile ile 500
  2. COMMAN

    Nipo Tunduma, toka mafuta yapande yafikie 2,900 nauli tunalipa 1,000 ya daladala kituo kwa kituo

    Tunduma ina route moja tu ya daladala nayo haifiki kilometa tano.
  3. COMMAN

    Nipo Tunduma, toka mafuta yapande yafikie 2,900 nauli tunalipa 1,000 ya daladala kituo kwa kituo

    Mimi raisi samia namkubali kwa kufanya reform kadhaaa.tatizo ni hli.kupanda kwa mafuta ni kitu kingine na kupandisha nauli kiholela ni kitu kinapaswa kukemewa....sasa watu wapo kimyaaa
  4. COMMAN

    Nipo Tunduma, toka mafuta yapande yafikie 2,900 nauli tunalipa 1,000 ya daladala kituo kwa kituo

    Yaani waziri Makamba ndio hapo unapofeli. Mimi ni shabiki wako, lakini kwa hili hapana upo kimya sana.
  5. COMMAN

    Nipo Tunduma, toka mafuta yapande yafikie 2,900 nauli tunalipa 1,000 ya daladala kituo kwa kituo

    Mimi niko mji wa Tunduma toka siku mafuta yapande yafikie 2,900 nauli huku tunalipa 1000 ya daladala kituo kwa kituo. Hakuna mamlaka zozote zinazokemea suala hili wiki ya pili, hakuna trafik wala sumatra wanaochukua hatua. Sasa inamaana hiyo ndo bei elekezi? Waziri. Wakuu wa wilaya na...
  6. COMMAN

    Msaada juu ya namna ya kuclear mkopo posta

    Jamani naombeni msaada wenu
  7. COMMAN

    Msaada juu ya namna ya kuclear mkopo posta

    Ndugu wanajamii forum.mm ni mtumishi .nlikopa mkopo benk ya posta.sasa nmepata hela ya kuwalipa mkopo wao.lakini.wanagoma kutoa riba.wanataka nlipe yote.naomba mnisaidie ni sawa .au ni ujanja ujanja tu.
  8. COMMAN

    IGP: Tunawasaka watu wanaofurahia na kukebehi mitandaoni baada ya askari kuuawa

    Sijawahi kuona raisi au IGP wakitoa salaam za rambirambi kwa watanzania waliokufa kutokana na ajali.tumekuwa tukiona ajali kadhaa zikiondoka na watu hata 30.lakin wakifa polisi wanajeshi vilio vingi.hivi hawa wengine cio raiaaa au wao vifo vyao haviwagusi viongozi.tuache unafki
  9. COMMAN

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    Mimi daktar nasumbuliwa na vidonda kwenye ulimi,yaani ulimi umechanika vibaya.lakini s ni miaka saba sasa nimetumia dawa za kuongeza vitamini na kuua fangasi tatizo likikaribia kuisha linarudi tena.kuna AMO mmoja akaniambia huenda nna leukemia.sasa niogopa naomba msaada wako.
  10. COMMAN

    Ndalichako ashusha walimu 7460 kutoka shule za sekondari kuhamishiwa s/msingi

    kwangu mimi nionavyo huku ni kukurupuka kwa waziri ndalichako na wizara nzima huwezi kumchukua mwalimu aliyesomea ualimu masomo mawili au moja umpeleke akafundishe masomo tisa .nijuavyo mm waalimu wa primary wamesomeaaaa masomo yote chuoni.sasa hyu wa sekondary labda akafundishe masomo yale yale...
Back
Top Bottom