Nahitaji mayai ya kisasa..kila siku mwenye uwezo wa kuniuzia kati ya trey 50 hadi 200 anitafute tufanye busness ya kudumu.Napatikana mbezi-Dar es salaam
0716666954
iyo imekaa poa mkuu.Tatizo upatikanaji wake wa hayo mayai yamekua hadimu kweli yani..Mimi mwenyewe nahitaji mayai ya kisasa tray 200 kila siku lakini upatikanaji wake ndio ivyo shida.Kama kuna yoyote mwenye connection au anauza anicheki kwa 0716666954
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.